Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,287
Usije kuleta mchozi hapa kwa kugonganisha matela kama nyota na mtamu walivyoparulana hapa leo. Fukunyua Aidha hongera sana Mkuu uwe na ubarikioHAYAWI HAYAWI SASA YAMEKUWA
nimepata yule aliyechomoka kwa ubavu wangu ambaye ni miezi kumi na moja naangaika kulipata tulizo la nafsi yangu hatimaye yamekuwa yule kila napo lala yeye ndo usingizi wangu yule kila napolia yeye unifaliji kwa kunifuta machozi si mwingine ni husna muba amekuwa ni zaidi ya rafiki kwangu nampenda sanaa
shukrani za dhati kabisa kwa shunie kwa kunisogezea karibu mtoto mzuri kabisa
husna muba [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji8] [emoji8] [emoji8] love you so much
nashukuru mkuuuko vizuri hongera
shukranihongera mr.
shukraniHongera
asante kapuku mwenzanguHongera kapuku mwenzangu
Haahaahhaaaa...Cc Daby
khee wewe unamuita huyo wanini??[emoji34][emoji34][emoji34]Cc Daby
Wacha uchochezi ha ha haCc Daby