Upiversity
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,487
- 2,632
Nimeufatilia huu Uzi ila bado sijagundua kosa lao....hili jukwaa si stress free?
.kumetokea nini tena,mbona watu wamekula umeme hivi;
....ama makapuku wameamua tu kuwa na avatar ya aina 1
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Afadhali umempata aache kumfatia ray wangu
Dah...Dogo...sasa inabidi upige kazi na mazoezi kwelikweli.....na ule ushibe hasa....maana usijerudi unalialia hapaππππHAYAWI HAYAWI SASA YAMEKUWA
nimepata yule aliyechomoka kwa ubavu wangu ambaye ni miezi kumi na moja naangaika kulipata tulizo la nafsi yangu hatimaye yamekuwa yule kila napo lala yeye ndo usingizi wangu yule kila napolia yeye unifaliji kwa kunifuta machozi si mwingine ni husna muba amekuwa ni zaidi ya rafiki kwangu nampenda sanaa
shukrani za dhati kabisa kwa shunie kwa kunisogezea karibu mtoto mzuri kabisa
husna muba [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji8] [emoji8] [emoji8] love you so much
Dah...toka lini na wewe?πAfadhali umempata aache kumfatia ray wangu
Enzi hizo[emoji5]Dah...toka lini na wewe?π
Dah...Usijali baada ya anko Magu kuziba mianya ya upigaji...na huu uhakiki wa vyeti...... imekuwa simpo sana kupata demππNice couple[emoji4] [emoji4] [emoji4] mi cjui nitapata ln?!
Dah...kama toka Enzi hizo ana bahati sana hayuko jela saa hii πππEnzi hizo[emoji5]
Jela gani tenaDah...kama toka Enzi hizo ana bahati sana hayuko jela saa hii πππ
Ha haa weweDah...under 18...jela miaka 30πππ
Acha kutamani couple za watuKumbe kweliiii duuu
you are always mineAfadhali umempata aache kumfatia ray wangu
una uhakika?Dah...under 18...jela miaka 30πππ
umerudi eeh?ndo uache michepuko ?
Happy to hear that mylvyou are always mine
am always your