Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,551
- 2,153
Wanawake hua hampendani,jadili hoja hatupo jukwaa la lugha
Samahani "King Kong wa 3" kama kukusahihisha ni makosa. Haya nakusahihisha kwa mara nyingine kwenye kiswahili hamna neno "HUA"...
Sijasikia hiyo issue ya bwimbwi ila mumewe nilisikia.
KI~Fahali~Ng'ombe?
Range Lover~ Ana mapenzi na Range?
vp mbona upo bize kumtetea kuna nini na yeye
mkija sikia mengine msishangae-
haya mambo ya kusema flani anapata hela kwa sababu ya biashara yake n.k mimi nakataa-kuna kazi nyingine anayofanya nyuma ya pazia-kama ni swala la catering ni wamama wangapi wapo vyema na hio kazi na wameshidwa kuwa na mafanikio kama hayo?
ninachotakla kusema ni kwamba hata kama ana mafanikio-si kutokana na mambo ya upishi/acting-kwa mtazamo wangu nazani kuna shughuli nyingine nyuma ya pazia anayofanya ndio maana inamuungizia pesa nyingi
mmh,inawezekana hii,kuna kibinti flani(dorica) miaka ya nyuma kizurii km mdori nilikua nakifundisha michezo ya kikubwa kilikua kinakaa kwa huyu mjasiriliamari eti mamayake wa hiariMbona kazi yake ya ukoboaji haujaitaja?
Huyu mama ni mkoboaji mzuri sana, mabinti wenye tamaa ya hela mbona wanakoma mwaka huu.
Mbona kazi yake ya ukoboaji haujaitaja?
Huyu mama ni mkoboaji mzuri sana, mabinti wenye tamaa ya hela mbona wanakoma mwaka huu.
the woman is not fine jamani...
Una hakika utajiri wake wote ni wa fedha halali? Catering services hizo ni dsm tu au anayo chain?
Just thinking aloud maana sioni kama film industry au catering services za nchi hii inayoitwa tz vinaweza kumfanya mtu akawa billionaire kwa kipindi cha miaka mitano mpaka kumi na tano