Hujui ulisemalo au aliyeshiba hamjui mwenye njaa. Wasomi ni wengi kuliko nafasi za kazi. Pili ni vigumu vijana wote kuajiriwa, wengine tulianza kujiajiri na sasa tuna ajiri, rejea swali ujibu upya, interview ni heshima itendee hakini kosa lao kwa kutozungusha cv...mbona ndani miezi 4 iliyopita mie nimepokea cv karibu 6 na kuzirecommend??? HAWAPELEKI MAOMBI YA KAZI halafu wanabaki kulilia hawana ajira
RedDevilNani anaku inspire jf
DJ sepetu
sawa mkuu nisamehe, nimeteleza.Hujui ulisemalo au aliyeshiba hamjui mwenye njaa. Wasomi ni wengi kuliko nafasi za kazi. Pili ni vigumu vijana wote kiajiriwa, wengine tumlianza kujiajiri na sasa tuna ajiri, rejea swali ujibu upya, interview ni heshima itendee haki
Mamaweee......[emoji134] [emoji134]Wema sepetu
unamaanisha nn?Mamaweee......[emoji134] [emoji134]
Kumbe ndomana....
no i mean the guy was smartAisee kumla mkuu Wa shule!
Haikuwa ngoswe kitovu cha uzembe!!
Uongeaji tu ni tiketi kwako!?
DJ sepetu
Jamaa wewe unahoji wanawake tu? Huleti wanaume wenzetu nao tukajifunza kutoka kwao?Mabibi Na mabwana habari yenu
Leo tuna furaha ya kumuhost Mrembo Wa jf Bible HusnaThebosslady!
Lengo la show hii ni kujifunza kuelimika Na burudani
Tunaomba ushirikiano Na nidhamu
Katika show yetu ya Leo
Maswali Na majibu sio lazima yampendeze kila mtu, hivyo tuheshimu mawazo ya kila mmoja!
Here we go!
DJ sepetu
Mtu akiwa na majivuno anakosa mvuto.Duh!majibu na mbwembwe za huyu interviewee ni hatari
Kama hizi mbwembwe zinamatch na uhalisia wa real life yake basi walio around na yeye kazi wanayo asee
[HASHTAG]#nohardfeelings[/HASHTAG]
Wema sepetu
Waooo! Why wema!
DJ sepetu
napenda maigizo yake, demu fake sana yule
Nimependa huu mtiririko...[emoji23] [emoji23]Are you also fake!?
DJ sepetu
Hilo bado..inaonekana lina joto kwelikweli (in kikwe*te voice)hilo tumbo unalionaje ww...lishazalishwa??
Mungu akubariki sanasorry
Umepoteaa, kama jero la noti.
Umeuona ujinga wakeSasa umemjuaje wakati humu tunatumia fake life style....[emoji47] [emoji47]
Ebu punguza mbwembwe na mikogo ya nyuma ya keyboard aiseeeee
Ulishafanya sex kinyume na maumbile? Kama bado je ulishawahi kutamani kujaribu? Au ulishaombwa? Natanguliza samahani kwa swari langu.nimeshasex na staff...alikuw ticha sema muongeaji, ndo maana akafaulu kumla mkuu wa shule.
Hahahaha...utakua mfuasi wa zitto kabwe yeye ndo muasisi wa neno zwazwasina mpango wa kuolewa na zwazwa