Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Aggyjay nataka tuungane ili siku yake muoshewa rungu atuandalie interview ya peke yetu mbali na hapa jf [emoji39][emoji39] nsfuatilia intavyuu...laivu....yani mubashara kabisa
wazo la biashara...wateja ni akina nani...mwekezaji/partner...makaratasi (proposals, usajiri, nk.)...faida itawekezwa wapiKtk biashara vitu vitano vya kuzingatia ni nn
DJ sepetu
hahahah lol...we mkuu pokea kiss from the boss...mwaaaahAcha ujinga mkuu,
Husna hajui real life la bongo, ni mtoto wa kishua, hajui soko la kariakoo, congo str, buguruni wala sokoine, unapomuuliza mtaji wa kijasiriamali unategemea ajibu nini?
Uliza mambo ya akina wema na ndege wote wafananao na akina wema
mm ni mpole huwezi amini...yaan ni mpole kama njiwa halafu najifanyaga maskini ile mbaya mpaka hata chai utaninunulia mwenyeweSipati picha mazingira ya kazi waliyonayo walio chini yako kwa nyodo hizi
elewa kuwa hii interview iko x2, kuna mnaoniuliza hapa lkn kuna jam kule pm pia...so muda flani nazidiwa...yaan naweza kuchefuliwa pm hasira zikaishia kwajko ww hapa jukwaanUlipoanza, ulianza vizuri kuwa uko humble lkn ktkt ya safari umechafua hali ya hewa
Naomba asinitaje mimi...[emoji13] [emoji13]Ni watu gani wanakuboa sana humu jf!?
DJ sepetu
Vijisenti/pesa ya mboga[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]kujielewa, elimu na vipesa.
hapana...lengo ni kuona uimara wale wa kusustainMadakika yote hayo mnaangaliana tu,
Kwamba mnachunguzana kitu gani muda wote huo.
Unataka kugundua kwamba mwanaume nae kapaka wanja km wewe au.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] itakuwa wapiAggyjay nataka tuungane ili siku yake muoshewa rungu atuandalie interview ya peke yetu mbali na hapa jf [emoji39]
sema myNaomba nisiseme hapa hadharani tafadhali
ooohhhh...nimekupata mkuu. well notedAnd....
If you want long life here...
Do not provoke.
Watu kwa fursa, wamewasili pm tayari!!!!elewa kuwa hii interview iko x2, kuna mnaoniuliza hapa lkn kuna jam kule pm pia...so muda flani nazidiwa...yaan naweza kuchefuliwa pm hasira zikaishia kwajko ww hapa jukwaan
sijawahi...na sitawahi, na sijawahi kuombwa kwasababu sina mwanaume mjinga kiasi hichoUlishafanya sex kinyume na maumbile? Kama bado je ulishawahi kutamani kujaribu? Au ulishaombwa? Natanguliza samahani kwa swari langu.
million 5.Unaweza kukubali kuolewa kwa mahali ya sh ngapi
DJ sepetu
Kwenye huu uzi kasema ni kiongozi wa kampuni ya mzee wake, kwenye uzi wa utambulisho kasema yeye ni head mistress.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sipati picha
yeah...but wanaojielewa ndio hao wako pm direct na hawaniprovoke hapaWatu kwa fursa, wamewasili pm tayari!!!!
Hudumia huku kwanza pm baadae mwaya
yeah...vya baba lkn, au nikipata bwana basi ntajivunia vya kwakeVijisenti/pesa ya mboga[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji386] [emoji386] [emoji386] [emoji387] [emoji387] [emoji387] Pesa buana
faida ni kwamba hutajua shida n nn, hasara ni kwamba binafsi km mm napata wakati mgumu kujichanganya na waswahili kama nyinyi
Mbali hukoo[emoji23] [emoji23] [emoji23] itakuwa wapi
kampuni ndo hiyo shule[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]