HusnaThebosslady live on muosha rungu TV show!

HusnaThebosslady live on muosha rungu TV show!

Status
Not open for further replies.
Acha ujinga mkuu,
Husna hajui real life la bongo, ni mtoto wa kishua, hajui soko la kariakoo, congo str, buguruni wala sokoine, unapomuuliza mtaji wa kijasiriamali unategemea ajibu nini?
Uliza mambo ya akina wema na ndege wote wafananao na akina wema
hahahah lol...we mkuu pokea kiss from the boss...mwaaaah
 
elewa kuwa hii interview iko x2, kuna mnaoniuliza hapa lkn kuna jam kule pm pia...so muda flani nazidiwa...yaan naweza kuchefuliwa pm hasira zikaishia kwajko ww hapa jukwaan
Watu kwa fursa, wamewasili pm tayari!!!!
Hudumia huku kwanza pm baadae mwaya
 
faida ni kwamba hutajua shida n nn, hasara ni kwamba binafsi km mm napata wakati mgumu kujichanganya na waswahili kama nyinyi

Hapa Jf makapuku hatuhesabiki, tuko zaidi ya 3/4 ya Jf nzima, hadi tumeanzisha forum ya makapuku.

SWALI :
umewezaje kwenda na sie parallel ? Hatukupi headache kweli mrembo. ( In Githeri man voice)
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom