Mimi sio ticha lkn I value them muchItakuwa wee ni tichaaa[emoji23] [emoji23] ...povu sio la nchi hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Cc. Husna la the bossladyNami nampenda Wema anahuruma sana, amewasaidia wanaume wengi ujue
Alisema tukutane hapa saa nne asubuhi ya leo.....
ni mtu mzuri. i mean im female, hummble, calm and hardworking.
FaizaFoxy tunaomba ufanyiwe interview kama hii leo= humble
Hata Ridhiwani Kikwete anafunga tela hapaDuh!majibu na mbwembwe za huyu interviewee ni hatari
Kama hizi mbwembwe zinamatch na uhalisia wa real life yake basi walio around na yeye kazi wanayo asee
[HASHTAG]#nohardfeelings[/HASHTAG]
Mbona hujamalizia na kale kamsemo chako??= humble
asante sana, nipo hewani sasa
Teh teh...haka kamwanamke ni kaongo shetani akasome tuition...Nwei inabidi tuijaribu hii kitu aisee...Haiwezekani tuwe washamba hiviHahaha sasa kitu kama we hujui unadhani mi ntakijulia wapi wakati unajua wewe ndo mwaume wangu wa kwanza na toka umenipa talaka sijapata mwingine ningeyajulia wapi hayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwalimu mkuu mambo [emoji28]Ukiwa muongo, usiwe msahaulifu
Kwani wee umenielewaje niliposema kumbe ni mwalimu?Mwalimu anashida gani au hujasoma mkuu?
Nani anakupa kiburi cha kuingia jf ndg yangu?
Waalimu ni watu muhimu duniani japo Tz mnawadharau.
Badili mtazamo mkuu wangu..kwa upole nimekusihi
Nafikiri umenisoma nilichomaanisha.Kwani wee umenielewaje niliposema kumbe ni mwalimu?
Mwalimu ni mlezi, hawezi kufanya ujinga kama wa huyo dada, mwanzo nilimchukulia kama mtu asiyestaarabika, ndo nikashangaa kumbe ni mwalimu halafu anamikogo ya kijinga kiasi hicho, nadhani na wewe pia unahaja ya kubadilika...
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Naona amewavutia wengi, mmeamkia uzi wa headmistress!!!
asante my diaKaribu tena our bosslady husnaaaaa!
DJ sepetu