HusnaThebosslady live on muosha rungu TV show!

HusnaThebosslady live on muosha rungu TV show!

Status
Not open for further replies.
Unamshauri nn kijana mwenye laki moja asiye Na ajira

DJ sepetu
Acha ujinga mkuu,
Husna hajui real life la bongo, ni mtoto wa kishua, hajui soko la kariakoo, congo str, buguruni wala sokoine, unapomuuliza mtaji wa kijasiriamali unategemea ajibu nini?
Uliza mambo ya akina wema na ndege wote wafananao na akina wema
 
Duh!majibu na mbwembwe za huyu interviewee ni hatari
Kama hizi mbwembwe zinamatch na uhalisia wa real life yake basi walio around na yeye kazi wanayo asee

[HASHTAG]#nohardfeelings[/HASHTAG]
Huyu ndio mzuri. Dege janja iko naswa na tundu bovu.
Hana ugumu.
 
Sehemu IPI ya ajabu ulisha Fanya ngono

DJ sepetu
 
Nn unajivumia
Nn unajutia maishani

DJ sepetu
 
Mwanaume yupi ni chagua lako namba moja!!?
Mwenye fedha au real love maskini

DJ sepetu
 
Ni maisha yepi magumu umewah experience

DJ sepetu
 
Acha ujinga mkuu,
Husna hajui real life la bongo, ni mtoto wa kishua, hajui soko la kariakoo, congo str, buguruni wala sokoine, unapomuuliza mtaji wa kijasiriamali unategemea ajibu nini?
Uliza mambo ya akina wema na ndege wote wafananao na akina wema
Ngoja aje QUIGLEY anaweza kuwa Na mawazo mazuri

DJ sepetu
 
Acha ujinga mkuu,
Husna hajui real life la bongo, ni mtoto wa kishua, hajui soko la kariakoo, congo str, buguruni wala sokoine, unapomuuliza mtaji wa kijasiriamali unategemea ajibu nini?
Uliza mambo ya akina wema na ndege wote wafananao na akina wema

Na wakimaliza wasisahau kutupa username zao Insta tuwa follow kwa KIKI zaidi.
Ogopa sana Sepenga type bit.che.s.
 
Elimu yako uliyoipata nje imekuletea changamoto ipi hapa nyumbani!?
Unadhani imekufanya bora kuliko ungesoma hapa

DJ sepetu
changamoto niliyoiona hainiathiri, inawaathiri ambao wamesoma nje lkn hawana ready-made positions....ushauri wangu ukisoma nje kazi iwe inakusubiria hapa home, kama huna huo mkakati utajilaumu sana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom