sergio 5
JF-Expert Member
- May 22, 2017
- 9,405
- 10,637
Watu kweli watatusakama vya kutoshaHapana asieeee kuna watu wataandamana hapa[emoji23] [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu kweli watatusakama vya kutoshaHapana asieeee kuna watu wataandamana hapa[emoji23] [emoji23]
NishaendaSi kule kwa shemela cuzoo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umeona eenh unapambana na hali yako ya nini kuishi fake hizo mambo ndio zimenishinda aisee kutaka maisha kama ya husna boss lady kumbe wote tunakutana kwenye mwendo kasi ukija jf unajifanya nipo kwenye foleni nadrive [emoji1][emoji1] kumbe upo kwenye mwendokasi umeshikilia bomba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtoto wa dady[emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kampuni ya dady[emoji23]
[emoji593][emoji593][emoji593][emoji593]2020 hiyooTutaanza na hizo hizo shouger wanavyoviita vibabywalker
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halaf dada ushimen ana bahati mbaya kumbuka ile ya kungwi tatizo anapenda sana kuwahi pm