Husninyo nakuja.......nipokee tafadhali

Sasa.........hebu ngoja.

Logistics zimeshafanyika?


zimeshafanyika hommie...this time Fidel80 nimemwmabia atulie kwa sababu ya conflict of interest
 
zimeshafanyika hommie...this time Fidel80 nimemwmabia atulie kwa sababu ya conflict of interest

Orait....nshakata risiti huku, we tuma hela thru M-PESA.

Usisahau Magodoro ya comfy ni mazuri kuliko ya Dodoma.
 
Hommie what it do????


hommie....kwanza umepona? pole sana aisee...naenda ku do ze nidiful

kuna mtu kanambia nipitie mjengoni nidai katiba mpya, naona hiyo kazi itakuwa ngumu nahisi kufungiwa ndani!
 
hujui nimekumis kiasi gani hapa nilitaka nianzishe kasred kakukutafuta:smile-big:

Mi nimekumisi mpaka nakunywa bia badala ya chai. Yale makubaliano yetu yako palepale? Babu anahitaji mkongojo ujue.
 
afu wewe,,,,,kesi yako cjui ataamua we endelea kumpotosha babu

Kuna mtu namshushia laana, anawatukana wanawake wa mjini ukiwemo wewe eti...........wooooooooooote mmeshatoa mimba!
 
Mi nimekumisi mpaka nakunywa bia badala ya chai. Yale makubaliano yetu yako palepale? Babu anahitaji mkongojo ujue.

mimi na wewe tena!!huitaji kukumbusha inaclick akilini all the tym,,mkongojo unao sema lingine
 
Kuna mtu namshushia laana, anawatukana wanawake wa mjini ukiwemo wewe eti...........wooooooooooote mmeshatoa mimba!

wat a wonderful babu!!!!mlaani kwa majina yote likiwemo la babu mwenyewe
 
wat a wonderful babu!!!!mlaani kwa majina yote likiwemo la babu mwenyewe

Namlaani baioloji yake isizi, na kitoa uchafu chake kitekenyike mpaka atakapofuta kauli. Akipata mimba babu atamzalisha kwa operesheni.
 
Namlaani baioloji yake isizi, na kitoa uchafu chake kitekenyike mpaka atakapofuta kauli. Akipata mimba babu atamzalisha kwa operesheni.

mh!hapa babu tunae mbona kazi!hiyo laana atajuta kusema,,lol wacha nikaone anasemaje
 
Wiselady na Asprin hapo juu taratibu eheee jamani hivi Kimey yuko wapi? Wiselady unaweza kujibu ili swali
 
Hivi mpaka hapo hujanielewa, ushakuwa slow learner hivi?

hahaha,,ngoja nije hlf ukizingatia umenifurahisha kwa watoa mimba!nimekuachia baraka zako pale unipe chakula ya moyo,,lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…