Nimeshuka kwa ajili yako dear,,,huyu pope anahitaji maombi mazito
zimeshafanyika hommie...this time Fidel80 nimemwmabia atulie kwa sababu ya conflict of interest
Halafu wewe mbona imekuwa hivyo? Ni huyu Kimey au kuna mtu mwingine hapa kati?
hujui nimekumis kiasi gani hapa nilitaka nianzishe kasred kakukutafuta:smile-big:
Kuna mtu kati hapo stuka hommie! hahahahaahaaa....
afu wewe,,,,,kesi yako cjui ataamua we endelea kumpotosha babu
Mi nimekumisi mpaka nakunywa bia badala ya chai. Yale makubaliano yetu yako palepale? Babu anahitaji mkongojo ujue.
mimi na wewe tena!!huitaji kukumbusha inaclick akilini all the tym,,mkongojo unao sema lingine
Kuna mtu namshushia laana, anawatukana wanawake wa mjini ukiwemo wewe eti...........wooooooooooote mmeshatoa mimba!
Nikisema kuna mijitu ina wivu mubaya sana.........:smile-big:
wat a wonderful babu!!!!mlaani kwa majina yote likiwemo la babu mwenyewe
Namlaani baioloji yake isizi, na kitoa uchafu chake kitekenyike mpaka atakapofuta kauli. Akipata mimba babu atamzalisha kwa operesheni.
sasa unawajali wenye wivu??au utasema kule library?
Hivi mpaka hapo hujanielewa, ushakuwa slow learner hivi?