Husninyo nakuja.......nipokee tafadhali

Husninyo nakuja.......nipokee tafadhali

jamani.....i miss u pia! ila unajua sema basi tuu unapenda kunisikia nikisema....eti eeh!!
Now am smilling...hebu angalia nimekuzawadia nini kwenye huu ukweli uliousema.



The Following User Says Thank You to Smiles For This Useful Post:

Asprin (Today)
 
taarifa zisizo rasmi ni kwamba maeneo ya dodoma wanaichukulia kondom kama "govi la mzungu" sasa wanasema kuvaa govi la mzungu ni kumshirikisha mzungu kwenye tendo la ndoa lako wewe na mwenza wako. nitakuwa na kibarua kipevu walahi lakini uzoefu utasaidia. nitafupisha kikao ili npate sku tatu za kuibiana na husninyo.

Lahaula....! Ha ha ha....
 
apo juu Smiles na Katibu st RR taratibu!
ebo! am watching,
 
Back
Top Bottom