Wiselady na Asprin hapo juu taratibu eheee jamani hivi Kimey yuko wapi? Wiselady unaweza kujibu ili swali
hahaha,,ngoja nije hlf ukizingatia umenifurahisha kwa watoa mimba!nimekuachia baraka zako pale unipe chakula ya moyo,,lol
Kaizer Kaizer kaizer oops nimepaliwa mapema hii...
Asprin shikamoo nimekumiss ,MJ1 yupo ?
mcd u buddy!mm na babu tunaliwazana kimey yuko likizo
Babu is always there for you.... .....you can file it deep inside your heart darling.
Na wenye mawivu, baioloji zao zilale kwa wiki moja.
Babu is always there for you.... .....you can file it deep inside your heart darling.
Na wenye mawivu, baioloji zao zilale kwa wiki moja.
Hiyo likizo ni ya maternity au likizo ya nini???
Vitendo bila kuchelewa....kamata hii kwa ajili ya apetaiti ya lunch ya leo. Ule ushibe upate afya njema, kwa faida ya babu.Filed already for the long term memory,,,
and this is for u:A S-rose::hug::busu to shine ur day
Una refer kwenye kugonga na kugongwa???
Vitendo bila kuchelewa....kamata hii kwa ajili ya apetaiti ya lunch ya leo. Ule ushibe upate afya njema, kwa faida ya babu.
The Following User Says Thank You to WiseLady For This Useful Post:
Asprin (Today)
ha ha ha babu hii kitu tayari imeshaleta appetite ya luch sasa cjui niskip bfast!
We dogo umeshapona? Nasikia jana ulikuwa unatapikia makalioni...pole sana. Siku nyingine ukome kupiga mitungi na malijendi kuanzia saa nne usubuhi.
Natafuta mtu wa kumgonga, kulipiza kisasi cha ukuta kuangalia TV foo faivu awaz!
nawachukia wanoko ingawa kuna wakati nawapenda,,,achana na mambo ya kimey sa hii niko busy na babu
hommie....kwanza umepona? pole sana aisee...naenda ku do ze nidiful
kuna mtu kanambia nipitie mjengoni nidai katiba mpya, naona hiyo kazi itakuwa ngumu nahisi kufungiwa ndani!
Niko bomba ile mbaya, Aisee kile kiporo cha kibua kiliharibu tumbo langu jana asubuhi
Thanx hommie kwa kujali maslai yangu..! Will be back shortly, ngoja logistic za hapa zitulie.Ngoja niirekodi hii kusudi Kimey apate reference yake
Thanx hommie kwa kujali maslai yangu..! Will be back shortly, ngoja logistic za hapa zitulie.