Husninyo nakuja.......nipokee tafadhali

Husninyo nakuja.......nipokee tafadhali

kaka tuday tuu mach riched vipi umepanda kwenye nguzo yamawasiliano nini?
natumia mobile ya kijiji. netweki kavareji inapigwa jeki na nguvu za giza. nipo kwenye kijiji flani hapa, herizi wanaita bastola.
 
huelewi nini smiles?
Mwenzio natafutwa. Na wewe kama wanitafuta andika jina lako kwa kaizer. Nitashughulikia shida zenu kabla hamjaandamana.
Hahaha! watu wanaogopa kuandamana siku hizi polisi hawatumii virungu wala mabomu ya machozi ni risasi tu.
 
natumia mobile ya kijiji. netweki kavareji inapigwa jeki na nguvu za giza. nipo kwenye kijiji flani hapa, herizi wanaita bastola.

nazani opareta wote wanatumia ungo ukiwahitaji fasta hadi ulipo
 
Hahaha! watu wanaogopa kuandamana siku hizi polisi hawatumii virungu wala mabomu ya machozi ni risasi tu.
kamanda yule mpinzan wetu alkuwa anaumwa leo, ushampa pole kule kwenye sredi lake?
 
siamini nilichokisoma,hapa nimshirikishe ZD tuongeze maombi pope amepitiwa na anguko
 
Back
Top Bottom