cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Mbona hatarii hii sasa, ko Msomali ni muongo?Meli gani inaanza kesho kupakua Sukari?
Kwenye Daily Shipping List ya wiki hii Bandari ya Dar es Salaam hakuna meli ya sukari iliyokuwa listed.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hatarii hii sasa, ko Msomali ni muongo?Meli gani inaanza kesho kupakua Sukari?
Kwenye Daily Shipping List ya wiki hii Bandari ya Dar es Salaam hakuna meli ya sukari iliyokuwa listed.
Hawana mamlaka ya kumuita kumuhoji au kumuelekeza.Kejeli hizo Mh. Bashe! Kwani ndani ya chama Katibu, mwenezi na NEC si kitu kwako?
Huyu jamaa amalize ubunge arudi kwao somalj nasikia anaamdaliwa kuwa rais wa Somalia landWaziri wa Kilimo Hussein Bashe amejibu baadhi ya hoja zilizoibuliwa kuhusu kupanda bei kwa sukari huku akiwatahadharisha Wafanyabishara wanaotumia Wanasiasa kuishikilia bango ajenda ya kupanda kwa bei ya sukari kwamba ajenda hiyo haitofanikiwa kwasababu tayari kuna bei elekezi inayotakiwa kulindwa.
Bashe amesema hayo katika hafla ya uwekaji jiwe la msingi la ujenzi wa Makao Makuu ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji na kukabidhi vitendea kazi kwa Tume hiyo.
“Kuna upungufu wa msambao wa sukari haina maana kwamba Nchi ina zero supply of the sugar sukari ipo inawezekana haitoshelezi kwa kiwango ambacho tulichotarajia kwasababu viwanda vimesimama na niwambie Watanzania meli ya kwanza ambayo tulitoa kibali cha kuingiza sukari Nchini imeshafika na kuanzia kesho na keshokutwa itaanza kupakuliwa ili sukari iingie Mtaani”
“Ninachotaka niwapelekee ujumbe waache ku-lobby kuzunguka kuijadili bei elekezi, Mimi ndiye Waziri wa Kilimo kama wanahoja waje Wizarani hawatotatuliwa hoja yao kwa ku-lobby kwa yoyote Nchi hii ambaye anaweza kuniambia ondoa bei elekezi wako wanne Rais wa JMT, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Naibu Waziri Mkuu, hawa ndio wanaweza kuniita na kunihoji hakuna Mtu mwingine yoyote”
“Tulikuwa na mfumo wa upangaji bei tulikuwa na stability ya price mpaka mwezi December mwanzoni wasi-take advantage tumeilinda Sekta hii kwa jasho na damu, kama wana hoja za msingi wafike ofisini kwa ajili ya kujadili kwani Serikali hutoa nafuu za kikodi ambayo humsaidia Mfanyabiashara hadi Mlaji wa mwisho”
Amepeleka sukari yote MogadishuHussein Bashe wakati alipokuwa Mbunge wa kawaida, basi nilifikiria ana maarifa mengi kichwani! Kumbe ilikuwa ni gia tu ya kuutafuta uwaziri. Tangu aupate huo uwaziri, aisee nimemshusha sana.
Msomali ndio walivyo hata rage ni hvyo hvyo tu muongeaji Sana kumbe Ni tapeli sukari yote wamepeleka Mogadishu kuweka stock ya miaka 10 ijayoHuyu mtu anaongea sana ili utendaji hakuna
Waziri Mjinga tu yule siku zote watu wenye kelele hawafanyi kazi Sijui kwa nn.Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amejibu baadhi ya hoja zilizoibuliwa kuhusu kupanda bei kwa sukari huku akiwatahadharisha Wafanyabishara wanaotumia Wanasiasa kuishikilia bango ajenda ya kupanda kwa bei ya sukari kwamba ajenda hiyo haitofanikiwa kwasababu tayari kuna bei elekezi inayotakiwa kulindwa.
Bashe amesema hayo katika hafla ya uwekaji jiwe la msingi la ujenzi wa Makao Makuu ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji na kukabidhi vitendea kazi kwa Tume hiyo.
“Kuna upungufu wa msambao wa sukari haina maana kwamba Nchi ina zero supply of the sugar sukari ipo inawezekana haitoshelezi kwa kiwango ambacho tulichotarajia kwasababu viwanda vimesimama na niwambie Watanzania meli ya kwanza ambayo tulitoa kibali cha kuingiza sukari Nchini imeshafika na kuanzia kesho na keshokutwa itaanza kupakuliwa ili sukari iingie Mtaani”
“Ninachotaka niwapelekee ujumbe waache ku-lobby kuzunguka kuijadili bei elekezi, Mimi ndiye Waziri wa Kilimo kama wanahoja waje Wizarani hawatotatuliwa hoja yao kwa ku-lobby kwa yoyote Nchi hii ambaye anaweza kuniambia ondoa bei elekezi wako wanne Rais wa JMT, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Naibu Waziri Mkuu, hawa ndio wanaweza kuniita na kunihoji hakuna Mtu mwingine yoyote”
“Tulikuwa na mfumo wa upangaji bei tulikuwa na stability ya price mpaka mwezi December mwanzoni wasi-take advantage tumeilinda Sekta hii kwa jasho na damu, kama wana hoja za msingi wafike ofisini kwa ajili ya kujadili kwani Serikali hutoa nafuu za kikodi ambayo humsaidia Mfanyabiashara hadi Mlaji wa mwisho”
Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amejibu baadhi ya hoja zilizoibuliwa kuhusu kupanda bei kwa sukari huku akiwatahadharisha Wafanyabishara wanaotumia Wanasiasa kuishikilia bango ajenda ya kupanda kwa bei ya sukari kwamba ajenda hiyo haitofanikiwa kwasababu tayari kuna bei elekezi inayotakiwa kulindwa.
Bashe amesema hayo katika hafla ya uwekaji jiwe la msingi la ujenzi wa Makao Makuu ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji na kukabidhi vitendea kazi kwa Tume hiyo.
“Kuna upungufu wa msambao wa sukari haina maana kwamba Nchi ina zero supply of the sugar sukari ipo inawezekana haitoshelezi kwa kiwango ambacho tulichotarajia kwasababu viwanda vimesimama na niwambie Watanzania meli ya kwanza ambayo tulitoa kibali cha kuingiza sukari Nchini imeshafika na kuanzia kesho na keshokutwa itaanza kupakuliwa ili sukari iingie Mtaani”
“Ninachotaka niwapelekee ujumbe waache ku-lobby kuzunguka kuijadili bei elekezi, Mimi ndiye Waziri wa Kilimo kama wanahoja waje Wizarani hawatotatuliwa hoja yao kwa ku-lobby kwa yoyote Nchi hii ambaye anaweza kuniambia ondoa bei elekezi wako wanne Rais wa JMT, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Naibu Waziri Mkuu, hawa ndio wanaweza kuniita na kunihoji hakuna Mtu mwingine yoyote”
“Tulikuwa na mfumo wa upangaji bei tulikuwa na stability ya price mpaka mwezi December mwanzoni wasi-take advantage tumeilinda Sekta hii kwa jasho na damu, kama wana hoja za msingi wafike ofisini kwa ajili ya kujadili kwani Serikali hutoa nafuu za kikodi ambayo humsaidia Mfanyabiashara hadi Mlaji
Huko kwenu mbona bei rahisi sana au sio TZ !Huku kwetu ni 5500Kikwete alituuzia 1Kg 1,800/1,900
Magufuli alituuzia 1Kg 2,300/2,400
Samia mpaka sasa sukari ni 4,500... And still counting.
Bongo kila siku bora jana.