Hussein Bashe: Acheni kuijadili bei elekezi ya sukari

Huyu jamaa amalize ubunge arudi kwao somalj nasikia anaamdaliwa kuwa rais wa Somalia land
 
Waziri Mjinga tu yule siku zote watu wenye kelele hawafanyi kazi Sijui kwa nn.
 
Anajitoa tu ufahamu....kwahiyo makonda akimpa maelekezo ya chama hawezi kufata? Huyo uwaziri umemshinda...Anataka kuleta ligi za ajabu kwenye chama....humalizi miezi 3 huo uwaziri sahau
 
Huyu si ni mmoja wa wale wakimbizi walioteuliwa kwenye vyombo vya maamuzi? Kwa mujibu wa mkuu wa majeshi ya Ulinzi.
 


Bashe katika ubora wake
 
Kikwete alituuzia 1Kg 1,800/1,900

Magufuli alituuzia 1Kg 2,300/2,400

Samia mpaka sasa sukari ni 4,500... And still counting.

Bongo kila siku bora jana.
Huko kwenu mbona bei rahisi sana au sio TZ !Huku kwetu ni 5500
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…