Tetesi: Hussein Bashe hatojibiwa na chombo chochote...

Tetesi: Hussein Bashe hatojibiwa na chombo chochote...

Jk alijaribu nini
Wacha kukurupuka
kuna kitu Jk alijaribu kukifanya zidi ya Rwanda
Wewe ndio unakurupuka,uadui wao haukua siri tena,rwanda kuondolewa congo pamoja na Tz **** jeshi congo,fuatilia utajua kilichokuwa kikiendela,waasi wa rwanda congo n.k hatukurupuki.
 
Kama bashe ni wa somalia kinana ni wa wapi? Hebu tuache ubaguzi!
 
26042018 Magufuli atafanyiwa kile alichofanyiwa Col. Gadafi kwenye lile kalavati. Hatutahitaji hata kujua kaburi lake liko wapi
Mh...... Mkuu unajiamini kiasi hicho kuayaandika hayo??

Kumbuka Mkulu alishasema kuwa Uhuru tulio nao siyo TO THAT EXTENT!
 
Yaani mimi ndio ningekuwa ni RAIS wa nchi hii...yaani wewe uliyeandika huu upuuzi MBONA JF lazima wangenipa information zako afu ukaonyeshe hilo KABULI...unaandika upuuzi upuuzi afu upo nyuma ya KEYBOARD...WEWE MPUUZI KWELI
Sifuri kabisa. Rubbish!
 
The question remains is Bashe right or wrong!?!?
Mengine ni ulofa tu wa nyie vijana uwe CCM, Upinzani au wasio na itikadi.
Umemuuliza swali zuri sana Mkuu

Tunaomba mujibu yake kwa maswali yafuatayo

1. Tundu Lissu amemiminiwa risasi zaidi ya 30, tena kwenye makazi ya viongozi, tena kwenye CCTZ camera
Iweje hivi sasa ni zaidi ya miezi 5 hakuna hata mtu mmoja aliyekamatwa na kupelekwa kwenye vyombo vya sheria??

2. Alphonce Mawazo aliuawa mchana kweupe, iweje Leo ni zaidi ya miaka 2 hakuna hata mtu mmoja aliyefikishwa kwenye vyombo vya sheria??

3. Binti mdogo Akwilina ameuawa mchana kweupe na Polisi, iweje kesi yake "inasuasua" na hafikishwi mahakamani mtuhumiwa huyo??

Ukinijibu hayo natembea uchi........
 
JK aligun
Nimecheka mpaka nikalia eti Bashe alikuwa Ana andika vyombo vya ulinzi vichunguzwe hasa Tiss kwa mnyetishaji alie nipa hili drip anasema watu walikuwa wanamuona tangu anapanga wazo na mpaka alipofika. Watu walikuwa wanamchora na kumpa credit aandike ule mukatasari ambao uwenda ulipofika ofisi fulani wali ushread bila hata kusoma. Na inaonekana jamaa baada yakuona kweli jamaa wamepiga cool akatafuta sehem pakwenda kusema ili taarifa ifike kwa haraka na serikali ipanic.

Bashe pole sana kaka serikali haitishwi na simple like that. Jamaa wakasema acha aseme anachofikiri lakini pia hatojibiwa. Jamaa akatoka apovu ila nyuma ya pazia wameuacha na panic mwenyewe maana inahuzunisha. Ina maana Bashe hakujuwa wanamsukumia motoni na kisha ajikute mwenyewe? Hhehehhe

Kiufupi hatojibiwa na wenye akili tulisema hatojibiwa ila moderator mkafuta sasa amejibiwa?
Huko bungeni sijuwi hata kama utapata nafasi kuandikwa umepokelewa nahisi...... Nakaa kimya.

Bashe tafakari wanao kutuma. Usalama wetu sio kama wa somalia au ruwanda ama burundi Tz tupo level nyingine my dear. Pole sana
JK aligundua mapema sana kuwa Bashe ni janga. Kweni kesi ya uraia ilifunguliwa awamu ipi?
 
Wana jf muwe makini wkt mnachangia mada zenu msitukane viongozi hasa rais wa JMT kwakudhani mpo salama kwakuwa mnatumia fake ID, hv mnadhani kitengo kikiamua kumbananisha mello kwa kumbana makende mpaka afichue id zenu halisi mnadhani wanashindwa? kuweni makini nyakati hiz ni zakwenda nazo kwa makini, kijana wa watu nondo katekwa na kutupwa kusikojulikana Leo kesi inaanza kumgeukia, hawa jamaa hawashindwi wakiamua, huko TLS kanuni zinabadilishwa ili bwana yule asirejee tena , huu ni ushauri tu anayetaka auzingatie asie taka aupuuzie
 
Yaani mimi ndio ningekuwa ni RAIS wa nchi hii...yaani wewe uliyeandika huu upuuzi MBONA JF lazima wangenipa information zako afu ukaonyeshe hilo KABULI...unaandika upuuzi upuuzi afu upo nyuma ya KEYBOARD...WEWE MPUUZI KWELI
Kabuli
 
26042018 Magufuli atafanyiwa kile alichofanyiwa Col. Gadafi kwenye lile kalavati. Hatutahitaji hata kujua kaburi lake liko wapi
Mkiambiwa mna akili ndogo mnabisha? Soma ulicho andika alafu usilaumu ukijipoteza.
 
Nimecheka mpaka nikalia eti Bashe alikuwa Ana andika vyombo vya ulinzi vichunguzwe hasa Tiss kwa mnyetishaji alie nipa hili drip anasema watu walikuwa wanamuona tangu anapanga wazo na mpaka alipofika. Watu walikuwa wanamchora na kumpa credit aandike ule mukatasari ambao uwenda ulipofika ofisi fulani wali ushread bila hata kusoma. Na inaonekana jamaa baada yakuona kweli jamaa wamepiga cool akatafuta sehem pakwenda kusema ili taarifa ifike kwa haraka na serikali ipanic.

Bashe pole sana kaka serikali haitishwi na simple like that. Jamaa wakasema acha aseme anachofikiri lakini pia hatojibiwa. Jamaa akatoka apovu ila nyuma ya pazia wameuacha na panic mwenyewe maana inahuzunisha. Ina maana Bashe hakujuwa wanamsukumia motoni na kisha ajikute mwenyewe? Hhehehhe

Kiufupi hatojibiwa na wenye akili tulisema hatojibiwa ila moderator mkafuta sasa amejibiwa?
Huko bungeni sijuwi hata kama utapata nafasi kuandikwa umepokelewa nahisi...... Nakaa kimya.

Bashe tafakari wanao kutuma. Usalama wetu sio kama wa somalia au ruwanda ama burundi Tz tupo level nyingine my dear. Pole sana
Damu ya Ben saa8 inakuhusu
 
Back
Top Bottom