Hussein Mwinyi alikuwaje Mbunge wa Mkuranga wakati yeye ni Mzanzibar?

Hussein Mwinyi alikuwaje Mbunge wa Mkuranga wakati yeye ni Mzanzibar?

Kwani wachaga na watu wa arusha wana tofaut ipi kubwa?yaani ni sawa na uhoji juu ya mzaramo kuwa mbunge kwa wakwere au wadengereko wakati ni jamii zinafanana
Lema alikuwaje Mbunge Arusha wakati yeye ni mchagga?
 
Back
Top Bottom