Hussein Mwinyi arudi bara 2025, awe Rais wa JMT, miaka kumi tunaaga umasikini

Hussein Mwinyi arudi bara 2025, awe Rais wa JMT, miaka kumi tunaaga umasikini

Naunga mkono hoja lakini ulipomwita dogo sio sawa Huyu ni mheshimiwa Rais naamini CCM hawatotuangusha nchi inataka mtu mwenye maamuzi kama DR.Mwinyi kwa sasa
Namwita dogo yaani mwinyi Junior, yupo mwinyi senior
 
Kama atahamishiwa bara halafu asiyumbishwe na mafisadi na watoto wao, ninaamini atakuwa Rais bora sana.

Awe huru kwenye kuteua na kutengua bila kutazama sura ya mtendaji husika.

Kuna wakati naona huo msimamo wake unachangiwa na wale anaowaongoza, na nchi anayoiongoza, hakuna pressure sana kwake.
 
Yaani ni kweli kabisaa.
Mwinyi aje tanganyika, samia aende zanzibar. Yaani huyu ndiye alitakuwa kuwa makamu wa JPM,sema gender ilileta shida
 
Namwita dogo yaani mwinyi Junior, yupo mwinyi senior
Chotera amekariri English,hajui kua Junior ni Dogo kwa kiswahili! Alaitaka kusikia ukisema Mwinyi Junior!!!
 


Huyu dogo ana maamuzi ya kiume na ana nia ya kweli yakutuondolea umasikini na kuleta maendeleo tumpe fursa 2025 awe Rais wa JMT,

Mtu anakaribia 60 mnamuita dogo. Pia January anaitwa kijana wakati anakunja fifteee. Mmatumbi bana!
 
Kama atahamishiwa bara halafu asiyumbishwe na mafisadi na watoto wao, ninaamini atakuwa Rais bora sana.

Awe huru kwenye kuteua na kutengua bila kutazama sura ya mtendaji husika.

Kuna wakati naona huo msimamo wake unachangiwa na wale anaowaongoza, na nchi anayoiongoza, hakuna pressure sana kwake.
Akienda na msimamo huwa huku Bara,hatadumu Kama Mwendazake!!!
 
Rais aliye kuwa serios na maisha ya watanzania ni JPM ukiachilia mbali JKN.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app

JKN alifilisi nchi na sera zake mbovu. Unafahamu UK inaweza kupata waziri mkuu ambaye wazazi wake walikimbia sera mbovu za Nyerere za kupora mali za watu?

"Sunak was born on 12 May 1980 in Southampton[4][5] to Indian parents Yashvir and Usha Sunak.[6] He is the eldest of three siblings.[5] His father Yashvir was born and raised in the Colony and Protectorate of Kenya (present-day Kenya), while his mother Usha was born in Tanganyika (which later became part of Tanzania).[7] His grandparents were born in Punjab Province, British India, and migrated from East Africa with their children to the UK in the 1960s.[8] Yashvir was a general practitioner, and Usha was a pharmacist who ran a local pharmacy.[4][6][9]"

 
Back
Top Bottom