Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NI kama tulivyo mchoka SamiaHuyo Mwinyi kwao si Mkuranga? Mchukueni tuu huku Zanzibar ameshachokwa.
Labda anao bara wote hatuna akili kama yeyeHakuna Mtanganyika anayweza kuwa kiongozi bora nchi hii??
Jamaa anaweza kutoboa aseeJKN alifilisi nchi na sera zake mbovu. Unafahamu UK inaweza kupata waziri mkuu ambaye wazazi wake walikimbia sera mbovu za Nyerere za kupora mali za watu?
"Sunak was born on 12 May 1980 in Southampton[4][5] to Indian parents Yashvir and Usha Sunak.[6] He is the eldest of three siblings.[5] His father Yashvir was born and raised in the Colony and Protectorate of Kenya (present-day Kenya), while his mother Usha was born in Tanganyika (which later became part of Tanzania).[7] His grandparents were born in Punjab Province, British India, and migrated from East Africa with their children to the UK in the 1960s.[8] Yashvir was a general practitioner, and Usha was a pharmacist who ran a local pharmacy.[4][6][9]"
![]()
Rishi Sunak - Wikipedia
en.wikipedia.org
Upo sahihi snCCM HAIWEZI KUTU LETEA RAIS BORA WA KUTUFANYIA ECONOMIC REVOLUTION CCM IMEOZA INABIDI IONDOSHWE KWA NJIA YA JASHO NA DAMU.😡
Hatutaki kuongozwa na wazanzibar kama vile sisi hatuna akiliYaani ni kweli kabisaa.
Mwinyi aje tanganyika, samia aende zanzibar. Yaani huyu ndiye alitakuwa kuwa makamu wa JPM,sema gender ilileta shida
Huyu dogo ana maamuzi ya kiume na ana nia ya kweli yakutuondolea umasikini na kuleta maendeleo tumpe fursa 2025 awe Rais wa JMT,
Whaaat! Are you kiding me! Nyerere alifilisi nchi? Angefilisi nchi angeweza kusomesha na kutibu wananchi bure? Angeweza kuanzisha mashirika makubwa ya umma na viwanda? Angeacha madini ardhi na raslimali luluki ambazo sasa hivi ndiyo tunazipiga mnada kwa waarabu huko Loliondo? This is more than rubbish! Hatutaki wazenji kwani kazi yao ni kupiga mnada raslimali zetu na kukawa ardhi yetu bure. Muungano ufe!JKN alifilisi nchi na sera zake mbovu. Unafahamu UK inaweza kupata waziri mkuu ambaye wazazi wake walikimbia sera mbovu za Nyerere za kupora mali za watu?
"Sunak was born on 12 May 1980 in Southampton[4][5] to Indian parents Yashvir and Usha Sunak.[6] He is the eldest of three siblings.[5] His father Yashvir was born and raised in the Colony and Protectorate of Kenya (present-day Kenya), while his mother Usha was born in Tanganyika (which later became part of Tanzania).[7] His grandparents were born in Punjab Province, British India, and migrated from East Africa with their children to the UK in the 1960s.[8] Yashvir was a general practitioner, and Usha was a pharmacist who ran a local pharmacy.[4][6][9]"
![]()
Rishi Sunak - Wikipedia
en.wikipedia.org
Huyu dogo ana maamuzi ya kiume na ana nia ya kweli yakutuondolea umasikini na kuleta maendeleo tumpe fursa 2025 awe Rais wa JMT,
Imagine Rais mwenyewe eti Mwinyi.Umasikini haujawahi kufutwa na raisi.
Huyu dogo ana maamuzi ya kiume na ana nia ya kweli yakutuondolea umasikini na kuleta maendeleo tumpe fursa 2025 awe Rais wa JMT,
Whaaat! Are you kiding me! Nyerere alifilisi nchi? Angefilisi nchi angeweza kusomesha na kutibu wananchi bure? Angeweza kuanzisha mashirika makubwa ya umma na viwanda? Angeacha madini ardhi na raslimali luluki ambazo sasa hivi ndiyo tunazipiga mnada kwa waarabu huko Loliondo? This is more than rubbish! Hatutaki wazenji kwani kazi yao ni kupiga mnada raslimali zetu na kukawa ardhi yetu bure. Muungano ufe!
Huyu dogo ana maamuzi ya kiume na ana nia ya kweli yakutuondolea umasikini na kuleta maendeleo tumpe fursa 2025 awe Rais wa JMT,
Huyu dogo ana maamuzi ya kiume na ana nia ya kweli yakutuondolea umasikini na kuleta maendeleo tumpe fursa 2025 awe Rais wa JMT,
Huyu dogo ana maamuzi ya kiume na ana nia ya kweli yakutuondolea umasikini na kuleta maendeleo tumpe fursa 2025 awe Rais wa JMT,
Ni upuuzi mtupu, hii nchi imekuwa ni ya familia? Rubbish!Kama ameahindwa kuwaondolea umasikini wazanzibar idadi yao wapo mil 1.6 ataweza watanganyika wapo mil.58.4 ?
Mataga na chawa acheni utani.