Hussein Mwinyi arudi bara 2025, awe Rais wa JMT, miaka kumi tunaaga umasikini

Hussein Mwinyi arudi bara 2025, awe Rais wa JMT, miaka kumi tunaaga umasikini

JKN alifilisi nchi na sera zake mbovu. Unafahamu UK inaweza kupata waziri mkuu ambaye wazazi wake walikimbia sera mbovu za Nyerere za kupora mali za watu?

"Sunak was born on 12 May 1980 in Southampton[4][5] to Indian parents Yashvir and Usha Sunak.[6] He is the eldest of three siblings.[5] His father Yashvir was born and raised in the Colony and Protectorate of Kenya (present-day Kenya), while his mother Usha was born in Tanganyika (which later became part of Tanzania).[7] His grandparents were born in Punjab Province, British India, and migrated from East Africa with their children to the UK in the 1960s.[8] Yashvir was a general practitioner, and Usha was a pharmacist who ran a local pharmacy.[4][6][9]"

Jamaa anaweza kutoboa asee
 


Huyu dogo ana maamuzi ya kiume na ana nia ya kweli yakutuondolea umasikini na kuleta maendeleo tumpe fursa 2025 awe Rais wa JMT,

Hatutaki hawa jamaa kutoka hizo pande ni madalali wa kunadi nchi! Ni viongozi tegemezi mno na wanadhani bila misaada ya kufanyiwa na mataifa mengine sisi wenyewe hatuwezi kufanya chochote.
 
JKN alifilisi nchi na sera zake mbovu. Unafahamu UK inaweza kupata waziri mkuu ambaye wazazi wake walikimbia sera mbovu za Nyerere za kupora mali za watu?

"Sunak was born on 12 May 1980 in Southampton[4][5] to Indian parents Yashvir and Usha Sunak.[6] He is the eldest of three siblings.[5] His father Yashvir was born and raised in the Colony and Protectorate of Kenya (present-day Kenya), while his mother Usha was born in Tanganyika (which later became part of Tanzania).[7] His grandparents were born in Punjab Province, British India, and migrated from East Africa with their children to the UK in the 1960s.[8] Yashvir was a general practitioner, and Usha was a pharmacist who ran a local pharmacy.[4][6][9]"

Whaaat! Are you kiding me! Nyerere alifilisi nchi? Angefilisi nchi angeweza kusomesha na kutibu wananchi bure? Angeweza kuanzisha mashirika makubwa ya umma na viwanda? Angeacha madini ardhi na raslimali luluki ambazo sasa hivi ndiyo tunazipiga mnada kwa waarabu huko Loliondo? This is more than rubbish! Hatutaki wazenji kwani kazi yao ni kupiga mnada raslimali zetu na kukawa ardhi yetu bure. Muungano ufe!
 


Huyu dogo ana maamuzi ya kiume na ana nia ya kweli yakutuondolea umasikini na kuleta maendeleo tumpe fursa 2025 awe Rais wa JMT,

Kama ameahindwa kuwaondolea umasikini wazanzibar idadi yao wapo mil 1.6 ataweza watanganyika wapo mil.58.4 ?

Mataga na chawa acheni utani.
 
Whaaat! Are you kiding me! Nyerere alifilisi nchi? Angefilisi nchi angeweza kusomesha na kutibu wananchi bure? Angeweza kuanzisha mashirika makubwa ya umma na viwanda? Angeacha madini ardhi na raslimali luluki ambazo sasa hivi ndiyo tunazipiga mnada kwa waarabu huko Loliondo? This is more than rubbish! Hatutaki wazenji kwani kazi yao ni kupiga mnada raslimali zetu na kukawa ardhi yetu bure. Muungano ufe!

Mashirika ya umma na viwanda gani vilianzishwa na Nyerere? Au unaongelea hivyo alivyopora Wazungu na Wahindi na kuvitaifisha na mwishowe vikafa au vikafilisika? Shule na hospitali walijenga wakoloni, wamishenari, na watu wa dini zingine huyo Nyerere alizikuta.

Halafu kama nchi ilikuwa na ardhi na rasilimali lukuki kwa nini tulikuwa omba omba enzi ya Nyerere? Mpaka yale mahindi wanayolisha nayo wanyama huko Ulaya na Marekani ndiyo tulipewa sisi ili tusife njaa. Watu wanavaa viraka, watu wanapanga foleni kununua sukari na mahitaji mengine muhimu. Weye humjui Nyerere, unaimba ngonjera tuu. Kamuulize babu yako kama yuko hai na aliishi enzi ya Nyerere atakupa ukweli.
 


Huyu dogo ana maamuzi ya kiume na ana nia ya kweli yakutuondolea umasikini na kuleta maendeleo tumpe fursa 2025 awe Rais wa JMT,

Huyu ameshaanza kuwananga watu wa Bara huko visiwani.
Huku hatumtaki, akae huko huko!
 


Huyu dogo ana maamuzi ya kiume na ana nia ya kweli yakutuondolea umasikini na kuleta maendeleo tumpe fursa 2025 awe Rais wa JMT,

Naunga mkono hoja kwa 100% na wa kuupiga mwingi atafutiwe kazi nyingine hata anayoshikilia Mr. February.
 
Kama ameahindwa kuwaondolea umasikini wazanzibar idadi yao wapo mil 1.6 ataweza watanganyika wapo mil.58.4 ?

Mataga na chawa acheni utani.
Ni upuuzi mtupu, hii nchi imekuwa ni ya familia? Rubbish!
 
Back
Top Bottom