Hussein Mwinyi kuitwa Rais Mteule kabla hajachaguliwa na wananchi ina maana gani?

Hussein Mwinyi kuitwa Rais Mteule kabla hajachaguliwa na wananchi ina maana gani?

Chief Kabikula

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2019
Posts
7,567
Reaction score
9,037
Wakati wa misa ya mazishi ya Rais mstaafu wa awamu ya tatu Hayati Benjamin Mkapa mtangazaji alikuwa akimtaja mgombea urais kwa tiketi ya CCM Zanzibar, Hussein Mwinyi kuwa Rais Mteule wa Zanzibar. Hivi ukishateuliwa na CCM tayari unakuwa Rais?

Kura za wananchi hazina maana? CCM kumbe hii nchi ni yao? Bado wanampa na ulinzi kabisa kabla hajawa Rais.

Oktoba twende kupiga kura za nini sijui?
 
Tuliza tako dawa ikuingie vizuri, Mwinyi ndie Rais Znz, bwana Sawa Sawa anamsindikiza tu.
Jibu hoja dili na mada matusi Kila mtu anajua tunatofautiana malezi na busara tu.Umesikia tabulalasa?Huelewi mada ?Kuitwa Rais mteule ,urais kauoata wapi wakati Bado wananchi hawajampigia kura?18 (1) katiba inasema viongozi wote was Tanzania wataoata mamlaka yote kutoka kwa wananchi kupitua uchaguzi wewe unaleta pumba muwe mnasoma shule?
 
Ndio Ni Raisi mteuliwa kateuliwa na wajumbe wa CCM mkutano mkuu wa CCM
 
Wewe ndio wapiga kura? Unawakilisha uwingi au umoja?Utafiti umeufanyia wapi ? Lini wazanzibar wakakwambia wamemchoka ?Ulitumia methodology ipi kujusanya data?
Ninayo haki ya kikatiba ya kutoa maoni yangu. Hata wewe unavyomkosoa mtangazaji bado umetumia haki yako ya kutoa maoni.
 
Huwa naona hapa mkimuita Lisu Rais , Ila hakuna anayelalamika kwamba katiba imevunjwa kwa kumpa mtu cheo ambacho Hana.
 
Uchaguzi utakaofanyika ni kwaajili ya kuwaaminisha donor kantriz kua uchaguzi umefanyika.
 
Ndio Ni Raisi mteuliwa kateuliwa na wajumbe wa CCM mkutano mkiu wa CCM
Andika vizuri mkiu ndio nini?Rais Mteule wa ccm au Zanzibar? Kama kateuliwa na wajumbe wa mkutano mkiu wa ccm kumbe Ni Rais Mteule wa ccm sio Zanzibar ,maana wazanzibar hawajamchagua na hawajapiga kura bado.
 
Huu Uhuru wa kutoa maoni wakati mwingine SIO KABISA! Kwani unaweza ukatoa maoni yako bila kuyatafakari na ukajikuta umetoa pumba! Na watu wenye UELEWA wakakushangaa na wewe mtoa maoni ukawa unajichekea tu kama zuzu kwa kujiona USHATOA MAONI YAKO!
 
Uchaguzi utakaofanyika ni kwaajili ya kuwaaminisha donor kantriz kua uchaguzi umefanyika.
Unafikiri donors hawajui hi michezo ?Wakichoka ndio utajuwajua vizuri.Kikubwa ninachosema viongozi wa nchi hii waheshimu katiba.
 
Utabisha tu lakini Mwinyi ndiye Rais wa Zanzibar. Hicho kibabu cha kujirudia kila uchaguzi, wapiga kura wamekichoka.
Hata Kama mnaiba kura basi muwe mnajificha yaani hadharani bill aibu.Hata kura hazijapigwa mmeanza Rais Mteule ,je kura zikipigwa.
 
Wakati wa misa ya mazishi ya Rais mstaafu wa awamu ya tatu hayati Benjamin Mkapa mtangazaji alikuwa akimtaja mgombea urais kwa tiketi ya ccm Zanzibar Hussein Mwinyi kuwa Rais Mteule wa Zanzibar. Hivi ukishateuliwa na ccm tayari unakuwa Rais? Kura za wananchi hazina maana? Ccm kumbe hii nchi ni yao? Bado wanampa na ulinzi kabisa kabla hajawa Rais , Oktoba twende kupiga kura za nini sijui?
Yule binti wa TBC anaitwa Mpendwa ni wale akina zero! Hajitambui.
 
Watangazaji na wandishi wengi wao ni makanjanja tu, uwezekano ni mkubwa kuwa hajui maana ya neno Rais mteule.
 
Back
Top Bottom