goggles
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,415
- 2,358
Kabla ya kura ''Rais mteule''Hata Kama mnaiba kura basi muwe mnajificha yaani hadharani bill aibu.Hata kura hazijapigwa mmeanza Rais Mteule ,je kura zikipigwa.
Baada ya kura ''Rais''
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabla ya kura ''Rais mteule''Hata Kama mnaiba kura basi muwe mnajificha yaani hadharani bill aibu.Hata kura hazijapigwa mmeanza Rais Mteule ,je kura zikipigwa.
Mungu anawaona we waache tuHujaona Ulinzi wake siku hizi kama JPM
Wacha wampe kila wanachoweza kumpa, lakini urais Zanzibar mwaka huu ni wa Maalim. Hakuma mwenye uwezo wa kuzuia hilo.Wakati wa misa ya mazishi ya Rais mstaafu wa awamu ya tatu hayati Benjamin Mkapa mtangazaji alikuwa akimtaja mgombea urais kwa tiketi ya ccm Zanzibar Hussein Mwinyi kuwa Rais Mteule wa Zanzibar. Hivi ukishateuliwa na ccm tayari unakuwa Rais? Kura za wananchi hazina maana? Ccm kumbe hii nchi ni yao? Bado wanampa na ulinzi kabisa kabla hajawa Rais , Oktoba twende kupiga kura za nini sijui?
Hebu leta hiyo clip akiitwa rais mteuleWakati wa misa ya mazishi ya Rais mstaafu wa awamu ya tatu hayati Benjamin Mkapa mtangazaji alikuwa akimtaja mgombea urais kwa tiketi ya ccm Zanzibar Hussein Mwinyi kuwa Rais Mteule wa Zanzibar. Hivi ukishateuliwa na ccm tayari unakuwa Rais? Kura za wananchi hazina maana? Ccm kumbe hii nchi ni yao? Bado wanampa na ulinzi kabisa kabla hajawa Rais , Oktoba twende kupiga kura za nini sijui?
Tuwagaragaze mpaka washike adabu.Wacha wampe kila wanachoweza kumpa, lakini urais Zanzibar mwaka huu ni wa Maalim. Hakuma mwenye uwezo wa kuzuia hilo.
Habishi ila anauliza kuitwa Rais Mteule kabla ya Uchaguzi imekaaje?Utabisha tu lakini Mwinyi ndiye Rais wa Zanzibar. Hicho kibabu cha kujirudia kila uchaguzi, wapiga kura wamekichoka.
Acha matusi ni utoto huo halafu kama huna hoja kaa kimya sio lazima kucomment Matusi yanakuonyesha tabia yako.Tuliza tako dawa ikuingie vizuri, Mwinyi ndie Rais wa Znz, bwana Sawa Sawa anamsindikiza tu.
Angeapishwa basi hebu tumia akili kidogo tu ccm ilimteua kama mgombea wao sio Rais mteule hili nalo haliitaji uwe na degree kama Mzee wetu Mwakyembe hata ukiwa Mjumbe tu utalijuaNdio Ni Raisi mteuliwa kateuliwa na wajumbe wa CCM mkutano mkuu wa CCM
Anajikomba!Hi i
Hivi ametumwa au amejituma?
Mwendelezo wa mambo ya kienyeji ya ccm na serikali yake.Utabisha tu lakini Mwinyi ndiye Rais wa Zanzibar. Hicho kibabu cha kujirudia kila uchaguzi, wapiga kura wamekichoka.
Akina Jecha ndiyo watangaza matokeo hapo unategemea nini. Huoni keshapewa body guard tayari .... Hiyo ndiyo CCM!!Wakati wa misa ya mazishi ya Rais mstaafu wa awamu ya tatu Hayati Benjamin Mkapa mtangazaji alikuwa akimtaja mgombea urais kwa tiketi ya CCM Zanzibar, Hussein Mwinyi kuwa Rais Mteule wa Zanzibar. Hivi ukishateuliwa na CCM tayari unakuwa Rais?
Kura za wananchi hazina maana? CCM kumbe hii nchi ni yao? Bado wanampa na ulinzi kabisa kabla hajawa Rais.
Oktoba twende kupiga kura za nini sijui?
Nawaangalia Halafu Nasema Hii BhaghoshaaTuliza tako dawa ikuingie vizuri, Mwinyi ndie Rais wa Znz, bwana Sawa Sawa anamsindikiza tu.
Rais wa Zanzibar alishachaguliwa na wana-CCM wa Tanganyika kule Dodoma, kilichobakia ni kutimiza matakwa ya kisheria tu ili aapishwe na kuhamia Ikulu ya ZanzibarWakati wa misa ya mazishi ya Rais mstaafu wa awamu ya tatu Hayati Benjamin Mkapa mtangazaji alikuwa akimtaja mgombea urais kwa tiketi ya CCM Zanzibar, Hussein Mwinyi kuwa Rais Mteule wa Zanzibar. Hivi ukishateuliwa na CCM tayari unakuwa Rais?
Kura za wananchi hazina maana? CCM kumbe hii nchi ni yao? Bado wanampa na ulinzi kabisa kabla hajawa Rais.
Oktoba twende kupiga kura za nini sijui?
Ina maana kuna watu ni washamba kama mh Zitto alivyosema.Wakati wa misa ya mazishi ya Rais mstaafu wa awamu ya tatu Hayati Benjamin Mkapa mtangazaji alikuwa akimtaja mgombea urais kwa tiketi ya CCM Zanzibar, Hussein Mwinyi kuwa Rais Mteule wa Zanzibar. Hivi ukishateuliwa na CCM tayari unakuwa Rais?
Kura za wananchi hazina maana? CCM kumbe hii nchi ni yao? Bado wanampa na ulinzi kabisa kabla hajawa Rais.
Oktoba twende kupiga kura za nini sijui?
Kuna kijamaa kimoja kwa sasa kimekuwa bonge kipo kati ya walinzi wa Magufuli, kilianza kumlinda magu tangu alipoteuliwa na ccm kuwa mgombea 2015.Wakati wa misa ya mazishi ya Rais mstaafu wa awamu ya tatu Hayati Benjamin Mkapa mtangazaji alikuwa akimtaja mgombea urais kwa tiketi ya CCM Zanzibar, Hussein Mwinyi kuwa Rais Mteule wa Zanzibar. Hivi ukishateuliwa na CCM tayari unakuwa Rais?
Kura za wananchi hazina maana? CCM kumbe hii nchi ni yao? Bado wanampa na ulinzi kabisa kabla hajawa Rais.
Oktoba twende kupiga kura za nini sijui?