Zanzibar 2020 Hussein Mwinyi kukosa Kura zote za Zanzibar za Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) inafikirisha sana. Haki ya Wazanzibar kuchagua iko Wapi?

Ni dhahiri Seif atapata

Ila jamaa wamezoea kubaka matokeo

Hata Mwinyi anajua atapata kwa nguvu ya CCM na sio wananchi
 
Hesabu ngumu sana hizi...
Hazitofautiani sana na zile za JMT 1+1=3
 
Kwa uhakika gani kwamba wengine si wajumbe wa Tanzania bara waliompigia kura Nahodha na mwenzie.Hoja ni kwamba pengine Mwinyi halikuwa chaguo la wazanzibari wengi au vinginevyo Ila hii probability yako haiko sawa
 
Vijana wa Znz ndio mnatakiwa mlete ukombozi,wengi mnakimbia nchi yenu mnaenda ulaya kujilipua kama mashoga,ndio mnaona ufahari
Ha ha! Hii ni noma sana. Kuna mmoja kajilipua kwa namna hiyo, si akaingizwa kwenye chama cha mashoga, na anapaswa kuhudhuria vikao na shughuli zao ili kudhiirisha kwamba yeye ni shoga aliyekimbia Zanzibar kwa sababu ya haki za binadamu!! Halafu swala tano kama zote! Maisha haya!!
 
Safari hii asijitangaze, asubiri tume imtangaze 😀😀vinginevyo atawarahisishia tena


Kuna kutangaza kura na kuna kutangaza ushindi, kutangaza kura ni ruksa kwa kila mgombea. Yeye Maalimu atatangaza kura alizopata na sio ushindi.
 
Nao hao wanaokwenda CCM ni waganga njaa. Utaona wasomi lakini maisha yanawapiga chini. Inabidi waende kule wasamehewe madeni waliochukuwa.
 
Ngoja niendelee kunawa mikono kwa maji tiririka tu..siasa nawaachia wenyewe.
 

 
Mambo ya Wazanzibar, wewe mtanganyika yanakuhusu nini ?
hata me nashangaa hawa wajjumbe 129 wabara kuwachagulia wazanzibari rais wao huu ni utopolo mkubwa na utawakosti hii lazima iwatafune
muda ndio jibu tusubiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…