Hutaji tutotials za kujifunza UX/UI Design kwa FIGMA

Hutaji tutotials za kujifunza UX/UI Design kwa FIGMA

Black Bolt

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2021
Posts
257
Reaction score
417
Habari wadau kama Kuna mtu anaweza kuwa na tutorials za kujifunza UX/UI kwa FIGMA naomba anieekeze alipo nizipate kwenye Flash yangu
 
Habari wadau kama Kuna mtu anaweza kuwa na tutorials za kujifunza UX/UI kwa FIGMA naomba anieekeze alipo nizipate kwenye Flash yangu
Mtafute huyu dada anaitwa Elsa ni ambassador wa adobe Xd na pia ni mkali wa figma.
Anapiga kazi na watu wa nje huko na kurun maforum.
Anatengeneza ela nyingi katika UX mkuu. And ni mtoto wa kishua tu kasoma IST na chuo Canada.
Mtafute anaweza kukupa turtorial nzuri hata alizotengeneza mwenyewe maana yeye na waphillipono na wazungu wengine uwa wanaendesha mafunzo online ya Figma an adobe Xd
Link yake Linkedin https://www.linkedin.com/in/elsa-amri na website yake: www.elsaamri.com
 
Mtafute huyu dada anaitwa Elsa ni ambassador wa adobe Xd na pia ni mkali wa figma.
Anapiga kazi na watu wa nje huko na kurun maforum.
Anatengeneza ela nyingi katika UX mkuu. And ni mtoto wa kishua tu kasoma IST na chuo Canada.
Mtafute anaweza kukupa turtorial nzuri hata alizotengeneza mwenyewe maana yeye na waphillipono na wazungu wengine uwa wanaendesha mafunzo online ya Figma an adobe Xd
Link yake Linkedin https://www.linkedin.com/in/elsa-amri na website yake: www.elsaamri.com
Asante ngoja nimcheki
 
Habari wadau kama Kuna mtu anaweza kuwa na tutorials za kujifunza UX/UI kwa FIGMA naomba anieekeze alipo nizipate kwenye Flash yangu
Duuh kwa mtindo huu utatoboa kweli?

Ingia youtube search "figma tutorials" then angalia videos zitazo kuja.

Unapoteza muda bila sababu.
 
Habari wadau kama Kuna mtu anaweza kuwa na tutorials za kujifunza UX/UI kwa FIGMA naomba anieekeze alipo nizipate kwenye Flash yangu
Bro/sister/ndugu achana na hayo mambo hauna dhamira yoyote unapoteza muda tu.


Naweza kuwa kichaa endapo nataka jambo fulani alafu sitaki kugharamika.


Leo hii kuna tutorials kila sehemu hadi premium tutorials zimeibiwa.

Torrent ziko tutorials kibao,
Kuna youtube tutorials ziko kibao.

Haya sasa kama unatumia aitel au halotel 5000 unapata GB 3 unataka nambia ni playlist gani ya figma inazidi gb 2, au unashindwa kutumia pirated course, Kama hauwezi nunua basi nani akupe kwa flash hizo sio movie.


Mimi huwa nashangaa, ulimwengu wa sasa kila kitu kiko wazi ni bando tu, hauna 30000tsh kulipia kozi udemy, pluralsight n.k kwanini usidownload zilizopo sasa nani akupe tutorial kwa flash hapa jf mimi hata ningekuwa karibu na wewe ningekunyima tu.
 
Mtafute huyu dada anaitwa Elsa ni ambassador wa adobe Xd na pia ni mkali wa figma.
Anapiga kazi na watu wa nje huko na kurun maforum.
Anatengeneza ela nyingi katika UX mkuu. And ni mtoto wa kishua tu kasoma IST na chuo Canada.
Mtafute anaweza kukupa turtorial nzuri hata alizotengeneza mwenyewe maana yeye na waphillipono na wazungu wengine uwa wanaendesha mafunzo online ya Figma an adobe Xd
Link yake Linkedin https://www.linkedin.com/in/elsa-amri na website yake: www.elsaamri.com
Hata elsa ataishia kumpa ushauri tu, huyu hana dhamira yoyote.

Si tunawaona kila siku huku mtaani.

Mtu anakuja anaomba tutorial flani lakini ukimuuliza baada ya mwezi au wiki tatu anasema bado hajapitia wakati anapata muda wa kucheki movie za kihindi.

Kwenye maelezo ya tutorial zozote huchukua masaa 3 au mawili kuisha kwa sababu urefu wa tutorial moja uchukua 5min ikizidi, basi ongeza vi sekunde.

Chukua masaa 3hrs=180min ukitumia 30min kwa siku maanake utamaliza tutorial baada ya siku 6.

Sasa mtu anaenda mwezi mzima katunza tutorial kwenye drive hivi kweli atIuwa serious mtu wa aina hiyo, kwa hiyo inakuwa umepoteza muda kumpa tutorials
 
Hata elsa ataishia kumpa ushauri tu, huyu hana dhamira yoyote.

Si tunawaona kila siku huku mtaani.

Mtu anakuja anaomba tutorial flani lakini ukimuuliza baada ya mwezi au wiki tatu anasema bado hajapitia wakati anapata muda wa kucheki movie za kihindi.

Kwenye maelezo ya tutorial zozote huchukua masaa 3 au mawili kuisha kwa sababu urefu wa tutorial moja uchukua 5min ikizidi, basi ongeza vi sekunde.

Chukua masaa 3hrs=180min ukitumia 30min kwa siku maanake utamaliza tutorial baada ya siku 6.

Sasa mtu anaenda mwezi mzima katunza tutorial kwenye drive hivi kweli atIuwa serious mtu wa aina hiyo, kwa hiyo inakuwa umepoteza muda kumpa tutorials
Kwanza sijui hata kama huyo Elsa atamjibu akimtafuta 🐒
 
Hata elsa ataishia kumpa ushauri tu, huyu hana dhamira yoyote.

Si tunawaona kila siku huku mtaani.

Mtu anakuja anaomba tutorial flani lakini ukimuuliza baada ya mwezi au wiki tatu anasema bado hajapitia wakati anapata muda wa kucheki movie za kihindi.

Kwenye maelezo ya tutorial zozote huchukua masaa 3 au mawili kuisha kwa sababu urefu wa tutorial moja uchukua 5min ikizidi, basi ongeza vi sekunde.

Chukua masaa 3hrs=180min ukitumia 30min kwa siku maanake utamaliza tutorial baada ya siku 6.

Sasa mtu anaenda mwezi mzima katunza tutorial kwenye drive hivi kweli atIuwa serious mtu wa aina hiyo, kwa hiyo inakuwa umepoteza muda kumpa tutorials
🤣🤣 Kweli mkuu umeongea ukweli kabisa anajaza tu
 
Kwanini mkuu, mbona anarespond vizuri
Mkuu kuna approach zinakatisha tamaa, ni kama alivyosema mathsjery jamaa amekosa dhamira ya kujifunza, pata picha akimuuliza yupo wapi aje na flash kwa ajili ya ku-copy hizo tutorials maana kwenye YouTube ni kubwa mno, unafikiri ni rahisi kupewa ushirikiano na mtu ambaye yupo serious ?

Inabidi ugharimie kupata maarifa, bongo tumerahisishwa hata tutorial ambayo ungelipia 100$ -500$ unaipata bure Torrent na hakuna mkono wa sheria utakaokufuata, sana sana ni bundle yako tu labda 3,000-10,000 unapata maarifa yanayoweza kukuingizia milioni.
 
Kwanza sijui hata kama huyo Elsa atamjibu akimtafuta 🐒
Kwanini mkuu, mbona anarespond viz
Mkuu kuna approach zinakatisha tamaa, ni kama alivyosema mathsjery jamaa amekosa dhamira ya kujifunza, pata picha akimuuliza yupo wapi aje na flash kwa ajili ya ku-copy hizo tutorials maana kwenye YouTube ni kubwa mno, unafikiri ni rahisi kupewa ushirikiano na mtu ambaye yupo serious ?
Hapo kweli hawezi maana mtu anaweza hata kuhisi shida yako siyo tutorials bali jambo tofauti.
 
Duuh kwa mtindo huu utatoboa kweli?

Ingia youtube search "figma tutorials" then angalia videos zitazo kuja.

Unapoteza muda bila sababu.
Najua hiko nimepakua video kadhaa zina Size kubwa mapaka MB 900 moja tu kupakua unakata MB za Sh 2000.
 
Back
Top Bottom