secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Naomba hii dhana ya hofu ya mungu ifutike mara moja na isijirudie tena, mungu hutakiwi kumwogopa bali unatakiwa kumuheshimu na kumpenda kwa maana mungu siyo mbaya na Hana nia mbaya kwetu.
Nimeshakutana na watu wanasema natafuta mwanamke mwenye hofu ya mungu pia kuna baadhi ya wazazi wanawatishia watoto wao kuwa Mungu atawachoma endapo watafanya makosa fulani.
Juzi nilicheka na nikasikitika kwa wakati mmoja baada ya kusikia mzazi mmoja akimwambia mtoto wake "kunywa uji usipokunywa mungu atakutupa kwenye tanuru la moto".
Nambeni sana msiwafanye watoto wenu wamwone mungu ni mbaya na adui.
Hayo niliyoende kujifunza baada ya Mods kunipeleka kwenye fungate ya takriban siku mbili kwa hisani ya Minjingu Jingu.
Nimeshakutana na watu wanasema natafuta mwanamke mwenye hofu ya mungu pia kuna baadhi ya wazazi wanawatishia watoto wao kuwa Mungu atawachoma endapo watafanya makosa fulani.
Juzi nilicheka na nikasikitika kwa wakati mmoja baada ya kusikia mzazi mmoja akimwambia mtoto wake "kunywa uji usipokunywa mungu atakutupa kwenye tanuru la moto".
Nambeni sana msiwafanye watoto wenu wamwone mungu ni mbaya na adui.
Hayo niliyoende kujifunza baada ya Mods kunipeleka kwenye fungate ya takriban siku mbili kwa hisani ya Minjingu Jingu.