OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Sasa hivi wanahangaika na mama yake waboreshe maslahi. Too late
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesoma. Mkataba haueleweki, hautaji hayo mazingira ya mchezaji kuvunja mkataba, hakuna specific reasons au situation iliyotajwa ambayo mchezaji anaweza kutumia kujustify kuvunja mkataba hivyo hapo kuna loophole ya Yanga kukataa mazingira au maelezo yoyote atakayotumia Feisal kuvunja mkataba.Umesoma mkataba?
Dah! Unaandika huku machozi ,mate na makamasi yanakutoka hovyo.Hatukubali!!
FEISAL Kaingia mtumbwi wa vibwengo!!
Huko Azam sio kabisa hakuna washabiki aliozoea kucheza nao na hakuna muunganiko wa wachezaji, kila mchezaji anacheza anavyojua ushindi wa ndondokela!! Dogo ataflop!
Solution
Kinachotakiwa Feitoto awarubuni Azam wampe ofa kwa maandishi kisha aipeleke hiyo ofa Yanga kwa Eng Hersi akapewe hiyo ofa Yanga hela ipo. Yanga tumemkuza dogo Fei hawezi kutimka kihuni!
TERMINATION OF THE CONTRACTSijapaelewa hapo
Hata akitema atalazimishwa kumeza kwa mara nyingine tena. Hadi bungo lifike tumboni🤓😎Kwasbabu tayari Yanga wamerudisha muamala
Hiyo kiufundi tunaita nyani katema bungo
Hata mimi nashangaa, kama mchezaji kwa hiari yake kaamua kuondoka, wawe wastaarabu tu, wamwache akatafute maisha kule anakoona kuna mfaa.Hivi kama hataki anang'ang'aniwa wa nini? Si wamuache aende!!!!
Huu mkataba uliosainiwa 2020 wa miaka miwili ndo unakwenda mpaka 2024? Sasa amevunja nini wakati mkataba ulishaisha? Mnatudanganya kwa maslahi yenu wakati tunajua kusoma?Huu ni mkataba wa Fei na Yanga.
Kipengele namba 14 cha mkataba huu kinahusu EXPIRY, SUSPENSION AND TERMINATION IF THE CONTRACT yaani kuisha, kusitishwa au kuvunjwa kwa mkataba.
Kipengele hiki kina sehemu 8
Sehemu ya 7 ndiyo inazungumzia mchezaji kuvunja mkataba...kinasema
The player has the right to terminate the contract extraordinarily provided that the player shall refund the signing fee paid by the club pursuant to clause 2.3 of the contract and pay at least three (3) months salary for early termination.
Maana yake
*mchezaji ana haki ya kuvunja mkataba kwa njia ya zaidi ya kawaida ilimradi tu mchezaji arudishe pesa ya kusaini mkataba aliyopewa na klabu kama inavyotajwa kwenye kipengele cha 2.3 cha mkataba and alipe mshahara angalau wa miezi mitatu (3).
Sasa kipengele cha 2.3 kinachotajwa hapo kinazungumzia pesa aliyolipwa kwa ajili ya kusaini.
Kinasema
The signing fee of Tanzania shillings One Hundred Million (Tshs 100,000,000/=) will be paid by the club for the said duration.
Yaani
Ada ya kusaini mkataba ya shilingi za kitanzania milioni mia moja (Tshs 1000,000,000/=) kitalipwa na klabu kwa muda uliotajwa.View attachment 2457519
Amemaliza ubishi kwa kuleta mkataba wa 2020-2022? Huu unasema unauvunja wa 2018 alioanzia. Feisal tangu aingie Yanga ameshasaini mikataba 3 mbona mnaleta wa pili ambao ulishaisha mnaficha wa 3?Hongera, umemaliza ubishi
...Kuomba kuvunja mkataba" lipigiwe mstari. Huwezi kuvunja mkataba kwa taarifa kama Chama cha siasa kinavyoijulisha polisi kufanya mkutano wa ndani.Nimesoma. Mkataba haueleweki, hautaji hayo mazingira ya mchezaji kuvunja mkataba, hakuna specific reasons au situation iliyotajwa ambayo mchezaji anaweza kutumia kujustify kuvunja mkataba hivyo hapo kuna loophole ya Yanga kukataa mazingira au maelezo yoyote atakayotumia Feisal kuvunja mkataba.
Uhuni utafanyika kumzuia Feisal kudandia mtumbwi wa vibwengo na kusafiri hadi Chamazi kwa mkataba wake kushindwa kuipasua hii vocabulary "extraordinary" . Mf wa specific reason ingekuwa hivi , mkataba ungesema "mchezaji asipocheza mechi 6 ana haki ya kuomba kuvunja mkataba!"
Ukinielewa kunywa soda ujilipie xmass njema
Tunataka timu inufaike na uondokaji wake. Azam wafate kanuni za Fifa za kumhamisha mchezaji kutoka kwenye club inayommiliki.Hivi kama hataki anang'ang'aniwa wa nini? Si wamuache aende!!!!
Feisal haendi Chamazi... Wala haendi Azam.Nimesoma. Mkataba haueleweki, hautaji hayo mazingira ya mchezaji kuvunja mkataba, hakuna specific reasons au situation iliyotajwa ambayo mchezaji anaweza kutumia kujustify kuvunja mkataba hivyo hapo kuna loophole ya Yanga kukataa mazingira au maelezo yoyote atakayotumia Feisal kuvunja mkataba.
Uhuni utafanyika kumzuia Feisal kudandia mtumbwi wa vibwengo na kusafiri hadi Chamazi kwa mkataba wake kushindwa kuipasua hii vocabulary "extraordinary" . Mf wa specific reason ingekuwa hivi , mkataba ungesema "mchezaji asipocheza mechi 6 ana haki ya kuomba kuvunja mkataba!"
Ukinielewa kunywa soda ujilipie xmass njema