Huu hapa mkataba wa Feisal

Huu hapa mkataba wa Feisal

Umesoma mkataba?
Nimesoma. Mkataba haueleweki, hautaji hayo mazingira ya mchezaji kuvunja mkataba, hakuna specific reasons au situation iliyotajwa ambayo mchezaji anaweza kutumia kujustify kuvunja mkataba hivyo hapo kuna loophole ya Yanga kukataa mazingira au maelezo yoyote atakayotumia Feisal kuvunja mkataba.

Uhuni utafanyika kumzuia Feisal kudandia mtumbwi wa vibwengo na kusafiri hadi Chamazi kwa mkataba wake kushindwa kuipasua hii vocabulary "extraordinary" . Mf wa specific reason ingekuwa hivi , mkataba ungesema "mchezaji asipocheza mechi 6 ana haki ya kuomba kuvunja mkataba!"

Ukinielewa kunywa soda ujilipie xmass njema
 
Sheria ilivyo kipengele iko kinasema hivyo,utakuta mbele huko kuna kipengele kingine kinachobana kipengele iko iko,kama biblia tu ukifungua hapa nguruwe halali biblia hiyo ukifungua kwingine inamkataa,vijana someni sheria
 
Hatukubali!!

FEISAL Kaingia mtumbwi wa vibwengo!!
Huko Azam sio kabisa hakuna washabiki aliozoea kucheza nao na hakuna muunganiko wa wachezaji, kila mchezaji anacheza anavyojua ushindi wa ndondokela!! Dogo ataflop!

Solution

Kinachotakiwa Feitoto awarubuni Azam wampe ofa kwa maandishi kisha aipeleke hiyo ofa Yanga kwa Eng Hersi akapewe hiyo ofa Yanga hela ipo. Yanga tumemkuza dogo Fei hawezi kutimka kihuni!
Dah! Unaandika huku machozi ,mate na makamasi yanakutoka hovyo.

We Feitoto utaua watu huko utopoloni . Rudi tu watakuroga akina mzee Mpili .

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Huu ni mkataba wa Fei na Yanga.

Kipengele namba 14 cha mkataba huu kinahusu EXPIRY, SUSPENSION AND TERMINATION IF THE CONTRACT yaani kuisha, kusitishwa au kuvunjwa kwa mkataba.

Kipengele hiki kina sehemu 8

Sehemu ya 7 ndiyo inazungumzia mchezaji kuvunja mkataba...kinasema

The player has the right to terminate the contract extraordinarily provided that the player shall refund the signing fee paid by the club pursuant to clause 2.3 of the contract and pay at least three (3) months salary for early termination.

Maana yake

*mchezaji ana haki ya kuvunja mkataba kwa njia ya zaidi ya kawaida ilimradi tu mchezaji arudishe pesa ya kusaini mkataba aliyopewa na klabu kama inavyotajwa kwenye kipengele cha 2.3 cha mkataba and alipe mshahara angalau wa miezi mitatu (3).

Sasa kipengele cha 2.3 kinachotajwa hapo kinazungumzia pesa aliyolipwa kwa ajili ya kusaini.

Kinasema

The signing fee of Tanzania shillings One Hundred Million (Tshs 100,000,000/=) will be paid by the club for the said duration.

Yaani

Ada ya kusaini mkataba ya shilingi za kitanzania milioni mia moja (Tshs 1000,000,000/=) kitalipwa na klabu kwa muda uliotajwa.View attachment 2457519
Huu mkataba uliosainiwa 2020 wa miaka miwili ndo unakwenda mpaka 2024? Sasa amevunja nini wakati mkataba ulishaisha? Mnatudanganya kwa maslahi yenu wakati tunajua kusoma?
 
Hongera, umemaliza ubishi
Amemaliza ubishi kwa kuleta mkataba wa 2020-2022? Huu unasema unauvunja wa 2018 alioanzia. Feisal tangu aingie Yanga ameshasaini mikataba 3 mbona mnaleta wa pili ambao ulishaisha mnaficha wa 3?
 
Nimesoma. Mkataba haueleweki, hautaji hayo mazingira ya mchezaji kuvunja mkataba, hakuna specific reasons au situation iliyotajwa ambayo mchezaji anaweza kutumia kujustify kuvunja mkataba hivyo hapo kuna loophole ya Yanga kukataa mazingira au maelezo yoyote atakayotumia Feisal kuvunja mkataba.

Uhuni utafanyika kumzuia Feisal kudandia mtumbwi wa vibwengo na kusafiri hadi Chamazi kwa mkataba wake kushindwa kuipasua hii vocabulary "extraordinary" . Mf wa specific reason ingekuwa hivi , mkataba ungesema "mchezaji asipocheza mechi 6 ana haki ya kuomba kuvunja mkataba!"

Ukinielewa kunywa soda ujilipie xmass njema
...Kuomba kuvunja mkataba" lipigiwe mstari. Huwezi kuvunja mkataba kwa taarifa kama Chama cha siasa kinavyoijulisha polisi kufanya mkutano wa ndani.
 
Hivi kama hataki anang'ang'aniwa wa nini? Si wamuache aende!!!!
Tunataka timu inufaike na uondokaji wake. Azam wafate kanuni za Fifa za kumhamisha mchezaji kutoka kwenye club inayommiliki.

Hizi shortcut zao ili Yanga isipate chochote hazikubaliki
 
Nimesoma. Mkataba haueleweki, hautaji hayo mazingira ya mchezaji kuvunja mkataba, hakuna specific reasons au situation iliyotajwa ambayo mchezaji anaweza kutumia kujustify kuvunja mkataba hivyo hapo kuna loophole ya Yanga kukataa mazingira au maelezo yoyote atakayotumia Feisal kuvunja mkataba.

Uhuni utafanyika kumzuia Feisal kudandia mtumbwi wa vibwengo na kusafiri hadi Chamazi kwa mkataba wake kushindwa kuipasua hii vocabulary "extraordinary" . Mf wa specific reason ingekuwa hivi , mkataba ungesema "mchezaji asipocheza mechi 6 ana haki ya kuomba kuvunja mkataba!"

Ukinielewa kunywa soda ujilipie xmass njema
Feisal haendi Chamazi... Wala haendi Azam.
 
Back
Top Bottom