Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hata Mimi nampenda sana hata kama Mimi ni CCMDevota namkubali sana ๐๐
Karibu sanaDevota namkubali sana ๐๐
Mimi ndio mpiga pichaMbona wewe huonekani?
Sana , mwanamke shujaa! Anachukua uubunge bila kipinganmizi....Devota namkubali sana ๐๐
๐๐๐Naomba namba ya Devotha nataka kumuona kabisa aachane na CHADEMA aje CCM kama PenezaMimi ndio mpiga picha
Haya, namba yake ya viatu ni 8 ya kichina๐๐๐Naomba namba ya Devotha nataka kumuona kabisa aachane na CHADEMA aje CCM
Wako mbeleKule nyuma mbona hakuna watu
Au hamtaki mashemeji toka CCM?Haya, namba yake ya viatu ni 8 ya kichina
Mwashambwa AKA mke wa bashite uharo unamtoka wapi kipara Cha zamaniTaarifa Ikufikie popote ulipo kwamba, Chama cha Demokrasia na Maendeleo, leo hii kinafanya Mkutano Mkuu Maalum Jimbo la Mjini Morogoro.
Kuna Chaguzi kadhaa za Viongozi wa Jimbo pamoja na Mabaraza ya Chama , kwa maana ya Bavicha , Bawacha nk.
Hali ya Ukumbi ndio kama mnavyoiona
View attachment 3004824View attachment 3004825View attachment 3004826View attachment 3004827View attachment 3004828
Ukiwa na shemeji Shetani ni balaa kubwaAu hamtaki mashemeji toka CCM?
Bia zimepatikana!Taarifa Ikufikie popote ulipo kwamba, Chama cha Demokrasia na Maendeleo, leo hii kinafanya Mkutano Mkuu Maalum Jimbo la Mjini Morogoro.
Kuna Chaguzi kadhaa za Viongozi wa Jimbo pamoja na Mabaraza ya Chama , kwa maana ya Bavicha , Bawacha nk.
Hali ya Ukumbi ndio kama mnavyoiona
View attachment 3004824View attachment 3004825View attachment 3004826View attachment 3004827View attachment 3004828
๐๐๐Mbona Mkt wako wa Taifa pia ni mwanachama mwenzetu?Ukiwa na shemeji Shetani ni balaa kubwa
mbona body language na facial expressions za wanachama na viongozi wao, zina present hali ya kukata tamaa, kukosa matumani na kupoteza uelekeo kabisa ๐Taarifa Ikufikie popote ulipo kwamba, Chama cha Demokrasia na Maendeleo, leo hii kinafanya Mkutano Mkuu Maalum Jimbo la Mjini Morogoro.
Kuna Chaguzi kadhaa za Viongozi wa Jimbo pamoja na Mabaraza ya Chama , kwa maana ya Bavicha , Bawacha nk.
Hali ya Ukumbi ndio kama mnavyoiona
View attachment 3004824View attachment 3004825View attachment 3004826View attachment 3004827View attachment 3004828
Msimamizi ameshalewa tayariBia zimepatikana!