Pre GE2025 Huu hapa ni Mkutano Mkuu wa CHADEMA Jimbo la Morogoro Mjini leo 31/05/2024

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa Ikufikie popote ulipo kwamba, Chama cha Demokrasia na Maendeleo, leo hii kinafanya Mkutano Mkuu Maalum Jimbo la Mjini Morogoro.

Kuna Chaguzi kadhaa za Viongozi wa Jimbo pamoja na Mabaraza ya Chama , kwa maana ya Bavicha , Bawacha nk.

Hali ya Ukumbi ndio kama mnavyoiona

 
Mwashambwa AKA mke wa bashite uharo unamtoka wapi kipara Cha zamani
 
mbona body language na facial expressions za wanachama na viongozi wao, zina present hali ya kukata tamaa, kukosa matumani na kupoteza uelekeo kabisa ๐Ÿ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ