Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Kwani naye ni shemeji yenu?😂😂😂Mbona Mkt wako wa Taifa pia ni mwanachama mwenzetu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani naye ni shemeji yenu?😂😂😂Mbona Mkt wako wa Taifa pia ni mwanachama mwenzetu?
Hayambona body language na facial expressions za wanachama na viongozi wao, zina present hali ya kukata tamaa, kukosa matumani na kupoteza uelekeo kabisa 🐒
Usiambie!Msimamizi ameshalewa tayari
Msalimie sana rafiki yetu Freeman Aikael MboweKwani naye ni shemeji yenu?
pole,Haya
HayaHakikisheni Mbowe anakuwa mkt wenu wa Taifa tena
Sawa afisa habari wa CHADEMA JFTaarifa Ikufikie popote ulipo kwamba, Chama cha Demokrasia na Maendeleo, leo hii kinafanya Mkutano Mkuu Maalum Jimbo la Mjini Morogoro.
Kuna Chaguzi kadhaa za Viongozi wa Jimbo pamoja na Mabaraza ya Chama , kwa maana ya Bavicha , Bawacha nk.
Hali ya Ukumbi ndio kama mnavyoiona
View attachment 3004824View attachment 3004825View attachment 3004826View attachment 3004827View attachment 3004828
Devota Minja mchaga anakubalika Kwa Walugulu morogoro Wakati warugulu Kilimanjaro hawawezi kubalika hata ujumbe wa nyumba kumiDevota namkubali sana 😄😄
Ukabila hautakuondolea umasiki unaokukabili, hivi Abood ni Mlugulu yule?Devota Minja mchaga anakubalika Kwa Walugulu morogoro Wakati warugulu Kilimanjaro hawawezi kubalika hata ujumbe wa nyumba kumi
Aiseee
Hoja ni atukuzwe mwenyekiti mboeTaarifa Ikufikie popote ulipo kwamba, Chama cha Demokrasia na Maendeleo, leo hii kinafanya Mkutano Mkuu Maalum Jimbo la Mjini Morogoro.
Kuna Chaguzi kadhaa za Viongozi wa Jimbo pamoja na Mabaraza ya Chama , kwa maana ya Bavicha , Bawacha nk.
Hali ya Ukumbi ndio kama mnavyoiona
View attachment 3004824View attachment 3004825View attachment 3004826View attachment 3004827View attachment 3004828
Ethi phi phi em inanyambfa Subutu yake, tunaandikisha wanachama wapya matawini kwa tathmini ya haraka tumefika Jumla ya wanachama 12.5mil.CCM inajamba haswa
Usilie mambo badoHoja ni atukuzwe mwenyekiti mboe
Chadomo ishajifia kwanini nisilie?Usilie mambo bado
Labda pamoja na wanafunzi wa primaryEthi phi phi em inanyambfa Subutu yake, tunaandikisha wanachama wapya matawini kwa tathmini ya haraka tumefika Jumla ya wanachama 12.5mil.
inakuhusu nini ?Chadomo ishajifia kwanini nisilie?
Inakula Kodi zetu Bure tuinakuhusu nini ?
Takwimu zinaonyesha kwamba hujawahi kulipa kodiInakula Kodi zetu Bure tu