Huu hapa umri sahihi wa Shilole

Nimependa sana uandishi wako. Flow nzuri kabisa na inaeleweka, kweli Shilole umri umekwenda. Ushauri, tunamuomba aache kujichetua. Hatutaki tena kuona matiti yake, amwonyeshe Uchebe tu.

Pili, ninamsihi Bw. Nuhu Mziwanda, aachane na ndoa ya wenzake, najua anaumia akifikiria usanifu wa kuchezea mfinyanzi enzi zile, ibaki story tu kwake.

Nuhu amenisikitisha eti kwa kujibu mapigo kwa kuopoa demu mwenye chura kubwa kuliko Shishi Baby. Aache kumuharibu huyo bint kutokana na ujuzi mbaya alioupata kwa mpenzi wake wa zamani.

Nuhu kubali tu, mbona ulipokuwa fundi udongo Timbulo alikaa kimya? Hakukupigia kelele kwa sababu Timbulo yeye ni fundi bomba, ujenzi hawezi na alikimbia kushindwa kuchezea udongo.

Tuvumiliane tu.
 
Mshukuru Mungu kwa kukufikisha umri huo dada Shilole...
Kila siku tukiwa na mume wangu tunamshukuru Mungu kwa kutupa umri, pumzi, afya na kipato,
lakini hatuachi kuwaombea watu kama nyie muondokane katika lindi la umasikini ili angalau siku moja uzungumzie miradi yako na kuwahamasisha vijana kuliko kuchukua muda mwingi kumzungumzia mtu asiyekupa hata buku ya kubet.... lol
 
Mh!yan m/me mzma unaanzsha thread ya umr wa mtu khaa!
 
Hahahaaaa haya mkuu
 
Umekuja kufanyaje humu kama unamiradi nenda kwenye miradi yako. Mie nilikuwa nataka tu nieleze umri wako dada Shilole, kama ambavyo wewe unaweza kumuelezea mtu mwingine.
 
Umekuja kufanyaje humu kama unamiradi nenda kwenye miradi yako. Mie nilikuwa nataka tu nieleze umri wako dada Shilole, kama ambavyo wewe unaweza kumuelezea mtu mwingine.
Itakua ulikua mama ake wa kambo sasa kwa bahati mbaya ukachungulia kadi lake la kuzaliwa hehehe,
By the way huoni aibu!!!
 
Yan wewe Shilole amepanga kwako ukiwa umeshabalehe halafu ukashindwa kumgegeda?Wanaume wa mikoani bwana! Mnajua tu kulima na kusukuma mikokoteni ya maji.
 
Wewe ulipokuwa motto Shilole alikuwa tayari anaishi na mme wa kwanza Igunga. Hivi Sasa Wewe una 31yrs na mmewe Sholole ana 38 or 39 (a difference of 8 yrs) Haaa....unachekesha brother. Rudi katengeneze story yako upya ama sivyo acha uchimvi haukufai.
 
Mkuu kumbe alikupita miaka mitano tu?

Huyo si alikuwa rika lako kabisa mbona ukuwahi kumtokea au domo zege?!
 
mme wake ajazaliwa bado,makala ailikuwa mpitaji tu kama ndikumana kwa uwoya sasa uwoya kapata mume wake hali wa uzee wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…