Huu hapa umri sahihi wa Shilole

Huu hapa umri sahihi wa Shilole

Hivi huwa najiuliza kuwa umri wa mtu huwa unamkera nini mtu mwingine kiasi cha kuacha mambo yake na kuanza kuulizia......!!!?
kwanza jiulize hivi kwani mtu anaogopa nini hadi kushindwa kutaja umri wake wakati umri hakuna mtu anayeweza kuuiba hata ukiwa mkubwa kiasi gani na kama ukiwa mdogo hakuna anayeweza kukuongezea pia hata ukifa unabaki unasoma tu.
 
Mkuu kama The Bogaz Lemutuz aliwahi kupanga kwenu naomba unitajie umri wake maana maswali ni mengi kuliko majibu huku mtaani.
 
Polepole nimesoma nae na ni age mate wangu ana 38

dah kumbe nilisoma na wazee bwana, dah kumbe zama zile nilikuwa dogo tu... 2000 O'level AZA BOY... Ila toka zama zile kajamaa kalikuwa kakuda kuda sana..
 
Nimependa sana uandishi wako. Flow nzuri kabisa na inaeleweka, kweli Shilole umri umekwenda. Ushauri, tunamuomba aache kujichetua. Hatutaki tena kuona matiti yake, amwonyeshe Uchebe tu.

Pili, ninamsihi Bw. Nuhu Mziwanda, aachane na ndoa ya wenzake, najua anaumia akifikiria usanifu wa kuchezea mfinyanzi enzi zile, ibaki story tu kwake.

Nuhu amenisikitisha eti kwa kujibu mapigo kwa kuopoa demu mwenye chura kubwa kuliko Shishi Baby. Aache kumuharibu huyo bint kutokana na ujuzi mbaya alioupata kwa mpenzi wake wa zamani.

Nuhu kubali tu, mbona ulipokuwa fundi udongo Timbulo alikaa kimya? Hakukupigia kelele kwa sababu Timbulo yeye ni fundi bomba, ujenzi hawezi na alikimbia kushindwa kuchezea udongo.

Tuvumiliane tu.

dah inaonekana we jamaa unawajua vizuri mno hawa jamaa, Shishi kumbe mambo yale ndio zake... ndio maana vijana wanalialia eeeeh..
 
Leo katika pitapita zangu nikaona nijaribu kueleza kidogo juu ya umri wa dada yangu wa Igunga Zuwena au maarufu kama Shilole.

Nimemkumbuka kwa mambo mawili; Mosi kama mtu ambaye aliwahi kuwa mpangajj wetu pale Igunga akiwa ameolewa mwaka 2000 na 2001. Lakini pili, namna ambavyo imekuwa ni vigumu kwake kusema ukweli juu ya umri wake halisi. Haya mambo mawili ndo yananifanya nimkumbuke.

Bila shaka wale wenyeji wa igunga mjini tutakuwa tunamkumbuka huyu binti si kwa umaarufu wa sasa bali umaarufu wa mme wake wa zaman ambae ni mzazi mwenzie pale Igunga bw. Makala.

Nakumbuka nikiwa nasoma kidato cha kwanza pale Igunga day (2001) Makala na Mkewe Shilole walikuwa wapangaji wetu. Mie nikiwa mtoto mdogo na Shilole akiwa pale kwetu nilikuwa namuona si rika langu kabsa.
Wakati anafanya biashara ya ndizi pale stand tulikuwa na tabia ya kuingia chumbani kwake na kuiba ndizi zake. Na siku moja alitupa Kiminyo baada ya kuona mzigo alioleta umepungua (nifupishe).
katika watu ambao huwa umri wao kila siku ni bongo movie na bongo flaver
kila siku wema ana miaka 26

Leo hii mimi nmekuwa mtu mzima (miaka 31) lkn pia nikimuangalia mme wake (Makala) nae tayari umri umeenda sana (makadirio ni miaka 38-39).

Pamoja na kwamba shilole hasemi umri wake sahihi na imekuwa ni mtihani mkubwa sana kwake hasa pale anapoulizwa historia yake, basi naweza kusema kwamba Shilole ni Mama wa Makamo. Ni Rika moja na dada angu aliyezaliwa 1981 na wamesoma darasa moja.
Hivyo basi makadirio ya chini ya umri wa shilole ni Miaka 36.


Lakini nampongeza kwa mfanikio aliyonayo mpk sasa lkn nimshauri tu asiteseke kuficha umri, hii itamsaidia pia kuwa huru zaidi.
Asanteni


kingunge wa JF
 
dah kumbe nilisoma na wazee bwana, dah kumbe zama zile nilikuwa dogo tu... 2000 O'level AZA BOY... Ila toka zama zile kajamaa kalikuwa kakuda kuda sana..
...kujibebisha tabia za mademu!
..wewe ni choko???
 
Watu waliofanikiwa huwa hawasahau maisha ya upangajini hasa tabia chafu za watoto wa baba mwenye nyumba kuingia kwenye vyumba vya wapangaji na kuanza kudokoa
 
Sasa hii tukijua ndo inasaidia nini? Mh Hivyo viwanda anavyovisema magufuli, labda atafute nchi ya kwenda kujenga sio Tz, hajiulizi kwann Nyerere alishindwa! Mtu anafanya utafiti wa kitu ambacho hakimwingizii hata sh5. Mungu ibariki Tz
 
...[HASHTAG]#matola[/HASHTAG] hahahaha lemutuz classmate wa .....dah nmecheka sana

Ova
 
Leo katika pitapita zangu nikaona nijaribu kueleza kidogo juu ya umri wa dada yangu wa Igunga Zuwena au maarufu kama Shilole.

Nimemkumbuka kwa mambo mawili; Mosi kama mtu ambaye aliwahi kuwa mpangajj wetu pale Igunga akiwa ameolewa mwaka 2000 na 2001. Lakini pili, namna ambavyo imekuwa ni vigumu kwake kusema ukweli juu ya umri wake halisi. Haya mambo mawili ndo yananifanya nimkumbuke.

Bila shaka wale wenyeji wa igunga mjini tutakuwa tunamkumbuka huyu binti si kwa umaarufu wa sasa bali umaarufu wa mme wake wa zaman ambae ni mzazi mwenzie pale Igunga bw. Makala.

Nakumbuka nikiwa nasoma kidato cha kwanza pale Igunga day (2001) Makala na Mkewe Shilole walikuwa wapangaji wetu. Mie nikiwa mtoto mdogo na Shilole akiwa pale kwetu nilikuwa namuona si rika langu kabsa.
Wakati anafanya biashara ya ndizi pale stand tulikuwa na tabia ya kuingia chumbani kwake na kuiba ndizi zake. Na siku moja alitupa Kiminyo baada ya kuona mzigo alioleta umepungua (nifupishe).

Leo hii mimi nmekuwa mtu mzima (miaka 31) lkn pia nikimuangalia mme wake (Makala) nae tayari umri umeenda sana (makadirio ni miaka 38-39).

Pamoja na kwamba shilole hasemi umri wake sahihi na imekuwa ni mtihani mkubwa sana kwake hasa pale anapoulizwa historia yake, basi naweza kusema kwamba Shilole ni Mama wa Makamo. Ni Rika moja na dada angu aliyezaliwa 1981 na wamesoma darasa moja.
Hivyo basi makadirio ya chini ya umri wa shilole ni Miaka 36.


Lakini nampongeza kwa mfanikio aliyonayo mpk sasa lkn nimshauri tu asiteseke kuficha umri, hii itamsaidia pia kuwa huru zaidi.
Asanteni


kingunge wa JF
Nijue umri wa shilole so what?wabong bhn emb kuwez serious na mamb yenu bhn
 
Kumbe miaka 36 ni mama wa makamo!'......'oh.....nishajizeekea mimi!'
 
Ni vizuri umeiweka wazi tabia yako, ila fahamu tu si kila mtu ni mzibua mifereji...
...wewe choko tu!
..hiyo 2000 wote mlikuwa class moja;kuwaita wenzio 'wazee' walikuzalia mamaako?
....onesha sasa huo utofauti wa miaka unaokufanya wewe ujione dogo saaaaana,
.kama si usenge wako tu!
 
Back
Top Bottom