Huu kweli ni utoto aisee

Nilijua hata atokee Simba....nikimsemea kwa baba huo ndio utakuwa mwisho wa maisha yake!!
 
Nilijua wachina uchumi wao wanategemea kungfu na brazir wanategemea mpira wa miguu.
 
Mimi nilidhani duniani hakuna kinachomshinda baba mzazi.
 
nilidhani mtu yeyote mweupe anaongea kiingereza
 
Nilidhani wanawake wanajifungua kupitia mdomo na sio viungo vyao vya uzazi kama wanyama wengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…