Mi mpaka sa hivi najua zakwao. Nimeanza kupenda ujingaMimi nilijua wale bank tellers zile pesa wanazopokea zinakua za kwao...
Bahat nzuri ukuwa nalo ani usingejua kama ni tusi*nilizani kazi ya kitovu nikutolea mtoto alieko tumboni
*nilikua naona neno p#mbu ni tusi kubwa kuliko yoote kumbe ni kiungo cha mwili wa mwanaume
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nilijua baada ya msichana kukua hatakiwi kucheza na wavulana wala kugusana nao akifanya hivyo tu anapata mimba
Habari Ndug!.
Kiukweli nimekumbuka zamani sana Leo, kuna mambo ambayo nilivyokuwa mtoto mdogo niliyadhania tofauti nauhalisia wake kwakwelii. Mfano wa mambo hayo ni
1.Nilidhania kuwa Daktari huwa haugui.
2.Nilidhani kuwa Padri, huishi milele bila kufa
Hayo ni baadhi tu, nawewe kama kuna mambo uliyafikiri tofauti enzi zautoto unaweza kuongezea Ili tujikumbushe utoto wetu.
Amani kwenu!.