Huu mchongo wa Ukraine ukitiki tushtuane jamani, mjini pangumu

You are not a fighter! You are a slave! Ungekuwa fighter unge fight against slavery unayoizungumzia (yaani iliyopo hapa kwako)! Kama ukienda kupigana kwa manufaa ya wa'Ukrain' you are still a SLAVE!
Kweli right now I'm a slave.....ila nijuavyo nikitoka hapa na kwenda kupambana na kuibuka na ushindi uhuru wangu utapatikana sidhani kama wenzetu ni watumwa kama sisi huku tandale....

Halafu kumbuka ile kuvuka border tu na kutua EU basi umasikini umeuaga, huko vitani hawapelekeshwi kama warusi, sema ndiyo hivyo front ushindi lazima hakuna kurudi nyuma.
 
Kama ni hivyo basi tupambane kwanza kuwaondoa hawa wakoloni wetu weusi. Na hao Wazungu nao wapambane na hali zao.
Huwezi, sisi tunawalaumu hawa wakoloni wetu weusi ila tambua ata wao wanafuata maelekezo na mifumo ya wakubwa wao, chain ni ndefu mno mwisho wa siku inaangukia kwa hao hao wazee wa ukoooni mambo leo...
 
Mbona kama naona tangazo linawahusu wa Ukraine walio nje ya nchi yao kama wakimbizi?

All in all RIP mmatumbi mwenzangu
 
Kwa bahati mbaya, jinsi nilivyoelewa jamaa wanaajiri wakimbizi waliopo ulaya siyo huku kwetu! Hili unalizungumziaje? Kasome upya labda kama sijaelewa!
Ukraine could begin recruiting refugees living in Europe in a bid to boost its battle-stricken armed forces.
 
RIP in advance. Vita haina macho mzee. Usijaribu kamwe abadani kuombea vita. Walioishuhudia miaka ya 70s watasema
 
Kwa bahati mbaya, jinsi nilivyoelewa jamaa wanaajiri wakimbizi waliopo ulaya siyo huku kwetu! Hili unalizungumziaje? Kasome upya labda kama sijaelewa!
Kwani wewe huwezi kuwa mkimbizi au wakimbizi ni wanyama.?....unaweza kuwa mkimbizi wa kisiasa au ukakana utaifa.
 
Kwani wewe huwezi kuwa mkimbizi au wakimbizi ni wanyama.?....unaweza kuwa mkimbizi wa kisiasa au ukakana utaifa.
Kwahiyo hapa tunapoongea wewe ni mkimbizi wa kisiasa na upo ulaya? Hoja yangu ni, je, upo ulaya hivi tunavyoongea? Sidhani kama wapo tayari kusafirisha slaves from Tanzania!! Naona kama uwezo wao kifedha unazidi kupungua kadri vita inavyozidi kusonga mbele!
 
Nilitest zar Wagner wakaniambia sina vigezo ngoja nitest upande wa pil
 
Mkuu kivipi naweza kuzamia nchi za ulaya ikiwa mimi sio mwanafunzi?
Unaweza kuja kwa visa inayoitwa Schengen ukipata hiyo unaweza kuzuru nchi nyingi za Ulaya ila kuipata angalia matapeli wasipitie senti zako
Usimuamini mtu fuatilia kwa unakini unaweza kupata ya utalii kama utawaridhisha
Ila mimi sina msaada huo
 
Unaweza kuja kwa visa inayoitwa Schengen ukipata hiyo unaweza kuzuru nchi nyingi za Ulaya ila kuipata angalia matapeli wasipitie senti zako
Usimuamini mtu fuatilia kwa unakini unaweza kupata ya utalii kama utawaridhisha
Ila mimi sina msaada huo
Nchi mzuri ni ipi hasa ambayo kwa mzamiaji kama mimi itanifaa ?
 
Amna nchi itaruhusu raia wake aende akapigane vita nchi nyingine never
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…