Fatma-Zehra
Senior Member
- Oct 18, 2020
- 192
- 1,063
Mpira ulipoteakwani ameshaacha kuupiga mwingi?
Harafu anaibuka jamaa anasema twende na miss mpaka 2030 huwa nachukia kweli!!!!Mnyonge anyongwe tu ila Magufuli kaenda na nywila ya kubana bei...
kwani ameshaacha kuupiga mwingi?
Magufuli yupi? huyu baba, 'did more harm than good katika uchimi wa nchi, hata huyu chief Hangaya ni matokeo ya huyu jpmMnyonge anyongwe tu ila Magufuli kaenda na nywila ya kubana bei...
Tuna wasomi kweli wa kuaminika au tuna wenye vyeti vya wa somi???Hali ni mbaya kweli Yani wasomi wote tulionao huko serikalini ila bado tuuu Mambo ni hovyo hovyo,labda wao wanalipwa na Kodi zetu ndo maana hawaoni,hakuna unafuu hata kidogo ndo maana watu Sasa hivi wako busy na kupiga dili tu ilmradi mkono uende kinywani soon tu tutakuwa Kama pirates wa nchi kavu...WAIT AND SEE.
Dah! Aisee vifaa vya ujenzi vimepanda bei ghafla mpaka inaogopesha! Mbaya zaidi hakuna cha Rais, Waziri Mkuu, au Waziri mwenye dhamana aliye jitokeza mpaka sasa kutolea tamko.Dah bei ya bati toka 16000 mpk 25000k yule mbunge zuzu aliyesema hataki nyumba za nyasi nchi hii atoe neno
..
Vijana ambao hamjajenga jiandaeni kulipa pango ya maisha tu
Sio msimbo..😂Mnyonge anyongwe tu ila Magufuli kaenda na nywila ya kubana bei...
Heri kuliko bwana yuleeeeeHarafu anaibuka jamaa anasema twende na miss mpaka 2030 huwa nachukia kweli!!!!
Naeudia acha tukamuliwe tu maumivu yakizidi wananchi tutajua Cha kufanyaDah! Aisee vifaa vya ujenzi vimepanda bei ghafla mpaka inaogopesha! Mbaya zaidi hakuna cha Rais, Waziri Mkuu, au Waziri mwenye dhamana aliye jitokeza mpaka sasa kutolea tamko.
Hili jambo linasikitisha na kuhuzunisha sana.
Msimbo milia au!?Sio msimbo..[emoji23]
Mzee alibugi habari za kuuawana tu nabkutekana m Hana kweupe..Heri kuliko bwana yuleeeee