Mbwa dume
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 5,934
- 10,206
Acha uchumi uanguke tu sisi tuko busy kubambikia kesi za ugaidi wapinzaniKwa sasa kila kitu kimepanda sana. Hali ya maisha inazidi kuwa mbaya. Baada ya mwaka mmoja, kama hali itaendelea kuwa hivi, uchumi wetu utaanguka.
Hali mbaya ya kiusalama inayochochewa na uchumi ulioanguka kutokana na mfumuko wa bei itakuwa dhahiri.
Serikali na Taasisi zake, kwa bahati mbaya sana, wameshindwa kudhibiti hali hii.