Huu mgao wa umeme kwa sasa hauvumiliki

Huu mgao wa umeme kwa sasa hauvumiliki

Zama za Shamba La Bb Zimerudi. Wewe unadhani miaka 6 watu walikufa njaa. Sasa wanajipigia wanavyotaka

Juzi bwana Maharage Anatuambia umeme utakaa sawa 2025 hivyo kwa miaka iliyobaki ni WAUZA Majenereta na sola kutengeneza Pesa ndefu.
 
Binafsi nasikitika sana , ikiwa binadamu atapata janga la asili la la ukosefu wa mvua kwa muda mrefu serikali haitakus na chakufanya mfano mzuri ni sasa!
Huu ndio wakati halisi wa sisi wananchi kujua tupo zaidi ya yatima hivyo tusijidekeze .

Apumzike kwa amani JPM
 
Jana wamekata saa 1 asubuhi. Umerudi usiku saa sita. Saa hizi saa moja wamekata. Huu siyo mgao, ni kama tu hakuna umeme. Nafikiri serikali imeshindwa kuzalisha na kusambaza umeme. Na hata hilo Stigla halitaleta unafuu wowote kama tu gesi tuliyokuwa na matumaini nayo ambavyo haikuleta unafuu.

Itungwe sheria watu binafsi wenye uwezo wa kuzalisha na kuuza umeme wafanye hivyo. Ikiwezekana na TANESCO ivunjwe tupate mashirika ya kikanda au kimkoa. Shirika kubwa hili likifanya uzembe nchi nzima unaingia shida.

Ni upumbavu miaka nenda rudi kuteseka na ishu moja.

Hapa kwenye kuvunja ni pangumu sana
 
Mabeberu wanafahamu kwamba nishati ni kiungo muhimu sana cha maendeleo hapa Tanzania.

Ndio maana mradi wa Stiglers ulikua ukipigwa vita miaka nenda rudi.

Jiulize Taifa kubwa kama marekani linahangaika nini kuhujumu miradi yetu ya nishati.

Wanajua kwa rasilimali tulizonazo Tanzania na Nchi zilizotuzunguka tunaweza kuwa super power kama tukiwa na nishati ya uhakika.

Mabeberu watapambana kuhakikisha kuwa kamwe hatutapata huo umeme wa uhakika.
 
Mabeberu wanafahamu kwamba nishati ni kiungo muhimu sana cha maendeleo hapa Tanzania.

Ndio maana mradi wa Stiglers ulikua ukipigwa vita miaka nenda rudi.

Jiulize Taifa kubwa kama marekani linahangaika nini kuhujumu miradi yetu ya nishati.

Wanajua kwa rasilimali tulizonazo Tanzania na Nchi zilizotuzunguka tunaweza kuwa super power kama tukiwa na nishati ya uhakika.

Mabeberu watapambana kuhakikisha kuwa kamwe hatutapata huo umeme wa uhakika.

Wewe jamaa shetani alikupiga na stroke, bado hujapona vizuri.

Mnafiki mkubwa wewe mlamba makalio ya wanasiasa.

Miaka michache nyumba wewe ulikuwa malaya wa kisiasa ukijidhalilisha hovyo kuitetea serikali hata kwenye mambo ya kipuuzi.

Umepata faida gani?
 
Anzisha kampeni ya kuoanda miti kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi. Mgao ni matokeo tu ya mabadiliko ya tabia nchi kutokana na uharibifu wa mazingira mnaoufanya.

Mbona Tanzania kuna mapori mengi tu? Au mapori ya kuleta mvua ni Ile miti ya selou?
 
Umeme hamna, maji ya kisima nayo bila umeme hupati! Vurugu tupu!
 
Jana wamekata saa 1 asubuhi. Umerudi usiku saa sita. Saa hizi saa moja wamekata. Huu siyo mgao, ni kama tu hakuna umeme. Nafikiri serikali imeshindwa kuzalisha na kusambaza umeme. Na hata hilo Stigla halitaleta unafuu wowote kama tu gesi tuliyokuwa na matumaini nayo ambavyo haikuleta unafuu.

Itungwe sheria watu binafsi wenye uwezo wa kuzalisha na kuuza umeme wafanye hivyo. Ikiwezekana na TANESCO ivunjwe tupate mashirika ya kikanda au kimkoa. Shirika kubwa hili likifanya uzembe nchi nzima unaingia shida.

Ni upumbavu miaka nenda rudi kuteseka na ishu moja.
Ndo kwaanza tupo nusu ya part one.

Zipo kama tano zinakuja
 
Mabeberu wanafahamu kwamba nishati ni kiungo muhimu sana cha maendeleo hapa Tanzania.

Ndio maana mradi wa Stiglers ulikua ukipigwa vita miaka nenda rudi.

Jiulize Taifa kubwa kama marekani linahangaika nini kuhujumu miradi yetu ya nishati.

Wanajua kwa rasilimali tulizonazo Tanzania na Nchi zilizotuzunguka tunaweza kuwa super power kama tukiwa na nishati ya uhakika.

Mabeberu watapambana kuhakikisha kuwa kamwe hatutapata huo umeme wa uhakika.
Mabeberu wana miaka 246 ya kuwa huru, yaan wakati wanavumbua viwanda vingi tu na wakijua nini maana ya ustaarabu sisi huku mababu zetu walikuwa wakivaa kama kipepe wa gazeti la sani, tulikuwa bado shamba sana miaka hiyo wakati huko US na UK kina Issac Newton wakivumbua formula zinazotumika mpaka leo.

Hizi kasumba mfu za kuamini beberu anatufanyia visa ni uongo wa wanasiasa waliokosa ubunifu wa kutatua matatizo yetu ya muda mrefu.
 
Anzisha kampeni ya kuoanda miti kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi. Mgao ni matokeo tu ya mabadiliko ya tabia nchi kutokana na uharibifu wa mazingira mnaoufanya.
Unafikiri kwa kuinama chini badala ya kuangalia juu...

Tatizo la umeme na huduma zingine duni za kijamii ktk nchi/taifa letu si matokeo ya hayo unayotaja hapa...

Bali ni matokeo ya NCHI/TAIFA HULI ZURI LA TANZANIA KUKOSA UONGOZI BORA...

Viongozi wetu hawa hawana akili za maono ya mbali na zinazoweza ku - project mambo na changamoto na kisha kuzikabili kabla hazijafika na kuleta madhara ktk nchi...

Specific kwenye hili la umeme mtu aweza kujiuliza swali hili...

Kwamba, pamoja na wataalamu wote tulionao, ina maana hawakuona mapema kabla kuwa mbele kidogo kutatokea shida ya uhaba wa umeme na kuandaa mkakati wa muda mfupi wa kukabiliana na tatizo...?

Hawa viongozi wetu kuna mawili. It's either ni uzembe na kulewa madaraka kiasi cha kujisahau kuwa wana - save watu au kweli ni WAJINGA na hawana maarifa tena ya kuongoza watu ili wapate huduma sahihi toka kwa serikali yao....!

TATIZO la UMEME si UKAME wala mabadiliko ya TABIA NCHI kama unavyijaribu kujitetea kijinga tu hapa. Tatizo ni AINA YA VIONGOZI tulio nao kuanzia Rais hadi huko kwenye wizara, taasisi ya TANESCO, mikoani na wilaya...

The whole system is completely rotten and it needs to be overhauled...
 
Jana wamekata saa 1 asubuhi. Umerudi usiku saa sita. Saa hizi saa moja wamekata. Huu siyo mgao, ni kama tu hakuna umeme. Nafikiri serikali imeshindwa kuzalisha na kusambaza umeme. Na hata hilo Stigla halitaleta unafuu wowote kama tu gesi tuliyokuwa na matumaini nayo ambavyo haikuleta unafuu.

Itungwe sheria watu binafsi wenye uwezo wa kuzalisha na kuuza umeme wafanye hivyo. Ikiwezekana na TANESCO ivunjwe tupate mashirika ya kikanda au kimkoa. Shirika kubwa hili likifanya uzembe nchi nzima unaingia shida.

Ni upumbavu miaka nenda rudi kuteseka na ishu moja.
Salaam ziwafikie vijana wa CCM ambao kazi yao ni vinyozi, kuchomelea vyuma, mageti na milango ya bati - huu ni muda wa kuugawana umaskini kwa pamoja. Tanzania raha sana.
 
Jiji kama la Mwanza la pili nchini kiuzalishaji linapewa umeme mdogo, nini balance?
 
20221121_205423.jpg
 
Back
Top Bottom