Elf 6 mi tano kwq hamis pale mahiwa na mchikichi. Hutaki twende nikupeleke au nikupe namba uwasiliane nae muuzajiHabari za muda huu Wana Jf. Niende Moja kwa Moja kwenye mada.
Leo Kuna sehemu nilienda kupata lunch na boss wangu, mmoja hv, maeneo ya slipway....nilipoingia wash room wakati natoka nikakuta na huu Mkufu kwenye ngazi. Nahisi unaweza kuwa wa thamani.
Mm sio mjuzi sana wa mambo haya ya madini ila kwa namna unavon'gaa unaweza kuwa ni madini halisi. Wajuzi wa hizo vitu nawakaribisha kwa maoni.
Mimi ni nani hata nizungumzie mkono ulioshika mkufu??Habari za muda huu Wana Jf. Niende Moja kwa Moja kwenye mada.
Leo Kuna sehemu nilienda kupata lunch na boss wangu, mmoja hv, maeneo ya slipway....nilipoingia wash room wakati natoka nikakuta na huu Mkufu kwenye ngazi. Nahisi unaweza kuwa wa thamani.
Mm sio mjuzi sana wa mambo haya ya madini ila kwa namna unavon'gaa unaweza kuwa ni madini halisi. Wajuzi wa hizo vitu nawakaribisha kwa maoni.
Sema biashara usiyoijua bwana,sometimes huyu ndiye bwana hamis anajenga mazingira ya kumbananisha muuzaji kwenye angle anayoitaka yeye.6
Elf 6 mi tano kwq hamis pale mahiwa na mchikichi. Hutaki twende nikupeleke au nikupe namba uwasiliane nae muuzaji
SIjakuelewa mkuu, elezea tu inawezekanaje ukajibananishe kwa cheni ya jumla buku 4?. HSema biashara usiyoijua bwana,sometimes huyu ndiye bwana hamis anajenga mazingira ya kumbananisha muuzaji kwenye angle anayoitaka yeye.
Siyo kwa ubaya lakini mkuu
Mimi hata ukiniambia inauzwa 100K nitakubali mkuu as long as huo siyo uwanja wangu.S
SIjakuelewa mkuu, elezea tu inawezekanaje ukajibananishe kwa cheni ya jumla buku 4?. H
Kabla hujaenda kuaibika IKWANGUENitakupatia Leo mkuu Leo, ndio Nina nafasi ya kwenda kwa sonara nikacheck
Wakabidhi wenye hotel wamtafute mwenyewe.. Kuna vitu vya kuokota vina siri kubwa sana.. Soma hiiHabari za muda huu Wana Jf. Niende Moja kwa Moja kwenye mada.
Leo Kuna sehemu nilienda kupata lunch na boss wangu, mmoja hv, maeneo ya slipway....nilipoingia wash room wakati natoka nikakuta na huu Mkufu kwenye ngazi. Nahisi unaweza kuwa wa thamani.
Mm sio mjuzi sana wa mambo haya ya madini ila kwa namna unavon'gaa unaweza kuwa ni madini halisi. Wajuzi wa hizo vitu nawakaribisha kwa maoni.
View attachment 3164549View attachment 3164550
Halafu jambo la ajabu sijisikii kuiuza hata kwenda kuitafuta ni madini au lah, ila binafsi nimeipenda natamani niivae mwenyewe nifanye Nini ili niwe salama kama itakuwa Ina uhusiano na mambo ya Giza?Wakabidhi wenye hotel wamtafute mwenyewe.. Kuna vitu vya kuokota vina siri kubwa sana.. Soma hii
Inawezekana kabisaSema biashara usiyoijua bwana,sometimes huyu ndiye bwana hamis anajenga mazingira ya kumbananisha muuzaji kwenye angle anayoitaka yeye.
Siyo kwa ubaya lakini mkuu