Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Kumekuwa na sinto fahamu mitandaoni kila mmoja akiongea lake ikiwemo manusura wa ajali ya ndege iliyotokea mkoani Kagera.
Ni kweli ukisikikiza maoni ya watu kwa makini unaona kuna hoja hapa ya kujadili, je mlango wa Emergency wa ndege ni upi hapa, muokoaji alitumia dhana gani kuufungua? Au aliukuta upo wazi ndipo akatimiza jukumu lake la uokozi?🤔🤔
Ni kweli ukisikikiza maoni ya watu kwa makini unaona kuna hoja hapa ya kujadili, je mlango wa Emergency wa ndege ni upi hapa, muokoaji alitumia dhana gani kuufungua? Au aliukuta upo wazi ndipo akatimiza jukumu lake la uokozi?🤔🤔