Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Hiii ni dawa nzuri ya Vidonda
Wengi mna sikia hadithi tu
Kua kuna mti.huo wa nyoka
Yani nyoka wakipigana mmoja ikatokea kamjeruhi mwenzake au kuzimia
Huenda kwenye mti flani uchuma jani na kumtemea mwenzake na kuamka
Basi dawa hii NI nzuri kwa mwenye vidonda vyovyote vile ambavyo vya ndani na njee ya mwili
Ume pata ajali vidonda vya tumbo n.k
Ila Kama umeona ume itumia Katika vidonda vya tumbo na huja pona jua hauna vidonda vya tumbo una acid reflux nyingi
Twanga ikiwa mbichi paka kwenye vidonda utaona maajabu
Ukipaka Leo kesho kwa uwezo wa Mungu kidonda kitakua kime pona pakubwa
Na Kama ni vidonda vya tumbo Anika kivulini Kisha twanga unga wake
Vijiko vidogo vya chai kimoja kwenye maji baridi asubuhi na jioni siku 7
Usipo pona tumia dawa za uric acid reflux
Wengi mna sikia hadithi tu
Kua kuna mti.huo wa nyoka
Yani nyoka wakipigana mmoja ikatokea kamjeruhi mwenzake au kuzimia
Huenda kwenye mti flani uchuma jani na kumtemea mwenzake na kuamka
Basi dawa hii NI nzuri kwa mwenye vidonda vyovyote vile ambavyo vya ndani na njee ya mwili
Ume pata ajali vidonda vya tumbo n.k
Ila Kama umeona ume itumia Katika vidonda vya tumbo na huja pona jua hauna vidonda vya tumbo una acid reflux nyingi
Twanga ikiwa mbichi paka kwenye vidonda utaona maajabu
Ukipaka Leo kesho kwa uwezo wa Mungu kidonda kitakua kime pona pakubwa
Na Kama ni vidonda vya tumbo Anika kivulini Kisha twanga unga wake
Vijiko vidogo vya chai kimoja kwenye maji baridi asubuhi na jioni siku 7
Usipo pona tumia dawa za uric acid reflux