Dr Luu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2016
- 489
- 386
Je ukikata majani yake yanatoa utomvu kama maziwa (utomvu mweupe)?Hio picha ndio yenye mwonekano mzuri ukienda polini una ijua tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je ukikata majani yake yanatoa utomvu kama maziwa (utomvu mweupe)?Hio picha ndio yenye mwonekano mzuri ukienda polini una ijua tu
UnaitwajeHiii ni dawa nzuri ya Vidonda
Wengi mna sikia hadithi tu
Kua kuna mti.huo wa nyoka
Yani nyoka wakipigana mmoja ikatokea kamjeruhi mwenzake au kuzimia
Huenda kwenye mti flani uchuma jani na kumtemea mwenzake na kuamka
Basi dawa hii NI nzuri kwa mwenye vidonda vyovyote vile ambavyo vya ndani na njee ya mwili
Ume pata ajali vidonda vya tumbo n.k
Ila Kama umeona ume itumia Katika vidonda vya tumbo na huja pona jua hauna vidonda vya tumbo una acid reflux nyingi
Twanga ikiwa mbichi paka kwenye vidonda utaona maajabu
Ukipaka Leo kesho kwa uwezo wa Mungu kidonda kitakua kime pona pakubwa
Na Kama ni vidonda vya tumbo Anika kivulini Kisha twanga unga wake
Vijiko vidogo vya chai kimoja kwenye maji baridi asubuhi na jioni siku 7
Usipo pona tumia dawa za uric acid reflux
![]()
Hapana ila ukiyafikicha au kuyatwanga yanakuwa kama mlenda fulani hiviJe ukikata majani yake yanatoa utomvu kama maziwa (utomvu mweupe)?
Uric acid na acid reflux ni vitu mbili tofauti japo zote ni acid ila kila moja ina athiri sehemu fulani ya mwil.Je na dawa ya hiyo uric acid reflux ni ipi ?