Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Hiyo ndiyo meli ya mafuta yenye mafungamano na Uiengereza Martin Luanda ilivyoanza mara baada ya kupigwa na kombora kutoka kwa Houth
Halafau vikosi vya wanamaji vya India vikaiona ikiendelea kuungua kama hivi
Na vikosi vya wanamaji wa kifaransa wakaiona iko kama hivi
Halafau vikosi vya wanamaji vya India vikaiona ikiendelea kuungua kama hivi
Na vikosi vya wanamaji wa kifaransa wakaiona iko kama hivi