Huu moto umezimwa kweli?

Kati ya wauthi na Uingereza nani alianza kumshambulia mwingine?
mtiririko wa matukio ni kama hivi:
Uiengereza aliwafadhili wayahudi waingie kwenye ardhi za wapalestina na kuunda taifa lilioitwa Israel mwaka 1948
Kutoka mwaka huo wao na Marekani wamekuwa wkiipa Israel misaada kila aina kujiimarisha na kuwakandamiza wapalestina kote mashariki na magharibi.
Wapalestina chini ya Hamas walijipanga kimya kimya na ilipofika oktoba 7 mwaka 2023 wakaingia kusini ya Israel na kusambulia na kuchukua mateka.
Uiengereza na Marekani wakashtushwa na tukio hilo na kuipa msaada wa kila hali Israel ili ilipize kisasi na wakafanya hivyo kwa nguvu kubwa ya kivita ambayo haijapata kuonekana.Watu wengi wakawa wanakufa na mali kuharibiwa.
Marafiki wa wapalestina kama Houth ikawauma na kuamua kulipiza kisasi kwa kushambulia maslahi ya Uiengereza.
 
Tz hatuna Cha kuizidi Yemen labda Michembe, matobolwa, mlenda wa mwage na makopa
 
Yemen ni maskini kuliko Tanzania. Wakipigana na US na UK watatoboa?
Kama wameshindwa kuwazuia red sea, hakuna watakachoweza. Afu hao watu msiwakuze sana ni wakawaida ndomana unaona NATO yote imeshindwa kumzuia Mrussi. Ni paper tigers hao ila ukija field hawana kitu
 
Unaipa kazi shingo kwa huo mzigo hapo juu.
 
Kama wameshindwa kuwazuia red sea, hakuna watakachoweza. Afu hao watu msiwakuze sana ni wakawaida ndomana unaona NATO yote imeshindwa kumzuia Mrussi. Ni paper tigers hao ila ukija field hawana kitu
NI vigumu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…