Huu mpasuko unazidi kukuwa kwa kasi katika sanaa yetu

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,657
Reaction score
3,679
Kwa wale wafutaliaj wa mambo watakuwa wameolidavua hili sasa kuna kundi A ambalo lenyewe linajiona kila kitu halitak ukaribu kabisa na kundi B hili linaundwa na Diamond na WCB,shettah, ney wa mitego, stan bakora

Wakati kundi B linaundwa na alikiba,mwana fa,ommydimpoz, barakah the prince, yaani ni nadra sasa kukuta kundi A wamesapot kazi ya kundi B na kundi B hivo hivo
 
Sasa wew unaposema kundi A wanajiona ndo kila kitu mbona kama ni mchonganishi na unazidi kueneza chuki, bila shaka wewe ni kundi B. Na je, unauhakika gani nyuma ya pazia nani anataka ukarb na mwenzake na nani hataki ushirikiano. Ofcoz mi kwa mtazamo wangu naona fans wa kundi B hakuna kitu wanaomba usiku na mchana zaidi ya kuomba kundi A lishuke. Na kwa hakika hamtoweza labd baadae sana ambapo kundi A watakuwa wameshapata mavuno ya kutosha kabisa kustaaf muziki
 
Hyo point mkuu mwambie waiter akupe bia mbili kwa bili yangu[emoji23] [emoji23]
 
Kazi za sanaa zikifanyika kwa umoja na ushirikiano, basi mafanikio ya wasanii pamoja na kazi zao zitafika mbali sana.Umoja ni nguvu ni vyema wasanii wetu wakashirikiana kupeleka mbele mziki wetu na kuitangaza Tanzania yetu kimataifa.
 

Majungu on fleek
 

Mwandishi katumwa na kundi B, nawaza tu
 
agiza kinywaji nalipia
 
Kumbuka sikuzote wambili havai moja msipende kumfananisha mnyama na league za mchangani na kila zama na mfalme wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…