kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Mimi ni shabiki wa Simba,ila aina ya uchezaji wa Simba kwa dunia ya sasa unaweza kufungwa hata na timu ya umitashumta.
Mchezo upo slow,skills duni,na kushindwa kujituma ipasavyo.
Kuna timu tunashabikia ulaya inafungwa ila unatoka bado una imani nayo kwa kuwa unaona bahati tu haikuwa yao.
Mpira wa sasa unatakiwa kuwa na kasi nguvu na akili.Acheni kujidai mnacheza eti show game wakati hata uwezo wenyewe hamnao.
Hawa wanaosajili wanapaswa kuangaliwa sana kwani naona sasa huenda kweli ni wapiga dili.Hawasajili wachezaji wa uhakika.Kwani kama mnalipa mabilioni kwa mwaka mmoja tu kwa kikosi hiki,inatia shaka iwapo kweli mpo serious
Sent using Jamii Forums mobile app
Mchezo upo slow,skills duni,na kushindwa kujituma ipasavyo.
Kuna timu tunashabikia ulaya inafungwa ila unatoka bado una imani nayo kwa kuwa unaona bahati tu haikuwa yao.
Mpira wa sasa unatakiwa kuwa na kasi nguvu na akili.Acheni kujidai mnacheza eti show game wakati hata uwezo wenyewe hamnao.
Hawa wanaosajili wanapaswa kuangaliwa sana kwani naona sasa huenda kweli ni wapiga dili.Hawasajili wachezaji wa uhakika.Kwani kama mnalipa mabilioni kwa mwaka mmoja tu kwa kikosi hiki,inatia shaka iwapo kweli mpo serious
Sent using Jamii Forums mobile app