Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
Nimefuga kuku 180 wa mayai (kuku wa kisasa). Lakini naona hawatagi mayai ipasavyo. Niliwanunua kuku hawa mwezi wa april tar 15, 2012 wakiwa vifaranga kabisa. Nimehudumia tangu aprili hadi leo september. Nilitegemea niwe napata mayai 150 (tray 5) au zaidi kwa siku. Lakini hadi sasa kuku wanaotaga wapo 75 hadi 80 tu, na nakusanya mayai tray 2 na nusu tu na wameanza kutaga mwezi wa nane. Hii inaashiria kuwa takribani kuku 100 hawatagi. Naomba msaada nifanyaje ili wote wawe wanataga mayai kama nilivyotegemea?
Nakushauri chukua majogoo kama kumi hivi kisha yatumbukize kwenye hilo banda...kisha baada ya siku 7 utapata jibu.
Watataga asubuhi, mchana jioni hao...puumbav