Huu mtindo wa Pascal vipi?

Mzee nimeielewa staili yko ya kufikisha ujumbe..😀😀 Wacha tuangalie hio staili ya kunyoa
 
Hoja yako umeificha kwenye hii picha
Ulitaka tu tuone jinsi huyo jamaa anavomuangalia DAB
 
Mzee nimeielewa staili yko ya kufikisha ujumbe..[emoji3][emoji3] Wacha tuangalie hio staili ya kunyoa
Mkuu tunazungumza lugha 1
 
Mtoa mada sidhan kama ulimaanisha hicho ulichokiandika haahaa..Ngoja nipite zangu
 
hapa naona huyudogo amemind mzigo[emoji90] [emoji12] [emoji12]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…