Huu muujiza na ushuhuda niliosikia kwa Mwamposa umenistua

Wivu tu..wewe uliwasaidia nini hao wazee.?

#MaendeleoHayanaChama
Wivu tena[emoji23][emoji23][emoji23].. akili zenu nyie ng'ombe wa mwamposa mnazijua wenyewe yani mjinga hata kujenga orphanage adanganye wenye akili zao Napo ameshindwa.

Anyway naomba niishie hapa..

Namkubali Sana Mwakasege.. Mwamposa Hana tofauti na waganga wanaofanya ramli[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Weee mimi nina ndugu yangu kaokoka yani kila mtu kwake mwanga, kila jirani yake mwanga, anaua mijusi kuwa inatumwaga na wachawi, paka yeyote akikatiza anasema ni mwanga, yani yeye kila kitu hivyo

Nimeona hata jirani yangu
Alikuta paka amekufa.. nikamwambia labda alikula kitu chenye sumu[emoji28]
Akakataa akadai alimwaga maji ya upako toka kwa Mwamposa..
Akasema mtaa una wanga wengi mno.. yaani unakuta wanajenga chuki kwa mambo ya kufikirika
 
Nimeona hata jirani yangu
Alikuta paka amekufa.. nikamwambia labda alikula kitu chenye sumu[emoji28]
Akakataa akadai alimwaga maji ya upako toka kwa Mwamposa..
Akasema mtaa una wanga wengi mno.. yaani unakuta wanajenga chuki kwa mambo ya kufikirika
We acha yani kuna muda watu wakifa eti utasikia walikuwa wanga hao maombi yao yamewapa kipgo mpaka wamekufa.
😂😂😂
Sijui hata kama wana raha maana naona wanaishi kwa mashaka juu ya kila kitu.
 
Ukimsikia Mtu anasali / anaabudu hapo Kwanza jua ana Ubongo dhaifu sana halafu anza Kumdharau Maisha yako yote kwani amekubali Kutekwa na Muhuni, Mchawi na Tapeli wa Kiimani apatikanae Tanganyika Packers Kawe.
 
Mwamposa , Musa richard , kakobe,mwingira, lusekelo na wahuni wengine ni televangelists ambao kazi yao ni kuhubiri kuhusu prosperity gospel kuhusiana na pesa na mafanikio tu then wanasubiri cash ziingie katika mfumo wa sadaka na fungu la ten.
 
Mimi labda muujiza wa mtu KUTAPIKA tandu na mwingine kujisaidia tandu naweza kuuamini,maana Kuna ndugu yangu naye alitapishwa vitu Kama hivyo japo siyo kwa Mwamposa ni Jamaa tuu alishusha maombi baada ya kupata maono.Kuna watu wanapata maono japo hawajiiti wachungaji au mapadri.
 
Weee mimi nina ndugu yangu kaokoka yani kila mtu kwake mwanga, kila jirani yake mwanga, anaua mijusi kuwa inatumwaga na wachawi, paka yeyote akikatiza anasema ni mwanga, yani yeye kila kitu hivyo
Nilisikia nabii anasema mijusi ni darubini za wachawi,,wanatumia kuona ndani kwako kuna nini[emoji28][emoji28]
 
Tungemuuliza huyo jamaa mtumaji wa hiyo pesa. Jina la nani linasoma aliyetuma au ni mtume Paulo!?
 
Kibaya zaidi utatukanwa Ukristo na siyo Mwamposa.
 
Daaaah inasikisha kwakweli na kuhuzunisha na maneno kama hayo serikali ipo na inayasikia kiukweli inasikitisha, mm nimekuwa nikisikia mengi watu wanatoa ushuhuda wa kitaperi lakini serikali haichukui hatua, hata huyo anaetoa ushuhuda huwa baadae akikaa anajiuliza kuwa hivi niliongea nini kile wakati wanatoa ushuhuda huwa wameondolewa akiri kwa muda halafu wanarudishiwa baada ya kumaliza kuongea pale kuna aina ya uchawi na mazingaombwe ya hali ya juu sana wananunua huko naigeria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…