Huu muungano usipodhibitiwa mapema atakuja mtawala mwenye hasira na kuifuta Zanzibar au Bara yote!

Huu muungano usipodhibitiwa mapema atakuja mtawala mwenye hasira na kuifuta Zanzibar au Bara yote!

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Hello!

Neno bara nimeliweka tu kwakuwa halina mbadala ila kwa ukweli neno bara halipo kimamlaka.
Kwa muda mfupi tu tumeona maeneo kadhaa yamefutiwa authority.

Hatujaambiwa kwamba yamefutwa ili yaundwe upya, yamebadilishwa majina au yameunganishwa na maeneo mengine.

Mfutaji ni Waziri wa TAMISEMI MR. MCHENGERWA, ila kwa mujibu wa katiba hana mamlaka ya kufanya hivyo, maana yake ni kwamba amefuta kwa amri ya Rais.

Pia soma: Kuna kero za muungano au muungano ni kero?

Atatokea mtu mwenye hasira ataifuta Zanzibar yote kulipa kisasi, au atatokea mtu mwingine kutoka Zanzibar ataifuta Arusha, Moshi na Tanga au Mikoa zaidi ya 10 kwa pamoja tisipoangalia.

Mtoto huwa anaanza kutest vitu, anagusa kitu halafu anaangalia sura ya mzazi wake ili aone reaction yake. Akiona mzazi ametabasamu anajua this is good akiona mzazi amekunja uso anaacha.

Uzi huu hauko kichama, kama mtu atatoa comment based on his/her political influenza basi huyo ni tahira.
 
Nchi inaendeshwa kama Kampuni binafsi ya familia.

Mama akikaa na ammi zake anaamua tu la kufanya.

Subirini tu kama Mlima Kilimanjaro nao hautobinafsishwa kwa Ammi Sayed Sayed.

Bi Maza ana mbinu kama dalali wa vyumba wa Buza.
 
Pengine JF inabidi tuanze kuwa tuna-declare interests ili kujadili issues kwa uhalisi wake.

Ccm wanapaswa kujadiliana kiccm, chadema kichadema, raia kiraia n.k

Kinyume na hapo, unaweza kuta watu wanatukanana kwenye mijadala kumbe uwezo wa kuona mambo unafunikwa na mahaba yao.
Ukitaka labda demokrasia iondolewa turudi kwenye mila zetu.
 
Hello!
Neno bara nimeliweka tu kwakuwa halina mbadala ila kwa ukweli neno bara halipo kimamlaka.
Kwa muda mfupi tu tumeona maeneo kadhaa yamefutiwa authority.
Hatujaambiwa kwamba yamefutwa ili yaundwe upya, yamebadilishwa majina au yameunganishwa na maeneo mengine.
Mfutaji ni waziri wa TAMISEMI MR. MCHENGERWA, ila kwa mujibu wa katiba hana mamlaka ya kufanya hivyo, maana yake ni kwamba amefuta kwa amri ya Rais.
Atatokea mtu mwenye hasira ataifuta Zanzibar yote kulipa kisasi, au atatokea mtu mwingine kutoka Zanzibar ataifuta Arusha, Moshi na Tanga au Mikoa zaidi ya 10 kwa pamoja tisipoangalia.
Mtoto huwa anaanza kutest vitu, anagusa kitu halafu anaangalia sura ya mzazi wake ili aone reaction yake. Akiona mzazi ametabasamu anajua this is good akiona mzazi amekunja uso anaacha.
Uzi huu hauko kichama, kama mtu atatoa comment based on his/her political influenza basi huyo ni tahira.
Umeona mbali sana mkuu.
 
Dawa ni kuvunja huu mungano wa mchongo tu. Ndoa kama inaleta mateso dawa ni talaka tu
Sasa hivi ni nadra kusikia wazanzibari wakitaka muungano uvunjwe maana sasa kila kitu kipo upande wao.

Huu muungano umekuwa mithili ya ndoa ya wazazi wawili wenye watoto wao toka ndoa nyingine.
Kila mzazi anavutia mema kwa watoto wake akipata fursa.

Kwa sasa Tanganyika tumebaki kuwa wana wa kambo.
 
Hello!
Neno bara nimeliweka tu kwakuwa halina mbadala ila kwa ukweli neno bara halipo kimamlaka.
Kwa muda mfupi tu tumeona maeneo kadhaa yamefutiwa authority.
Hatujaambiwa kwamba yamefutwa ili yaundwe upya, yamebadilishwa majina au yameunganishwa na maeneo mengine.
Mfutaji ni waziri wa TAMISEMI MR. MCHENGERWA, ila kwa mujibu wa katiba hana mamlaka ya kufanya hivyo, maana yake ni kwamba amefuta kwa amri ya Rais.
Atatokea mtu mwenye hasira ataifuta Zanzibar yote kulipa kisasi, au atatokea mtu mwingine kutoka Zanzibar ataifuta Arusha, Moshi na Tanga au Mikoa zaidi ya 10 kwa pamoja tisipoangalia.
Mtoto huwa anaanza kutest vitu, anagusa kitu halafu anaangalia sura ya mzazi wake ili aone reaction yake. Akiona mzazi ametabasamu anajua this is good akiona mzazi amekunja uso anaacha.
Uzi huu hauko kichama, kama mtu atatoa comment based on his/her political influenza basi huyo ni tahira.
Well Noted Mkuu.....
 
Ukitaka labda demokrasia iondolewa turudi kwenye mila zetu.
Unadhani hata hiyo demekrasia ina maana sana sasa kwenye nchi kama hii iliyojaa wendawazimu huko juu?

Ninachojaribu kusema ni kuwa, wewe kama mnazi wa upande ule, huwezi kukubaliana na hoja toka kwa upande mwengine na so long kuwa wanazi ndo watawala, hata hoja iwe ni kwa maslahi mapana kiasi gani ya kitaifa, bado wewe utakuwa na jicho na hoja za kinazi.

Sasa si ni bora muwe mnajadiliana wenyewe unazi wenu? Mkiongeza na the likes of Mwijaku, mnakuwa mmetimia haswaa.

Demokrasia ni kufuta miji na vijiji na kuanzisha Kizimkazi festival kuwa shughuli ya kitaifa?
 
Unadhani hata hiyo demekrasia ina maana sana sasa kwenye nchi kama hii iliyojaa wendawazimu huko juu?

Ninachojaribu kusema ni kuwa, wewe kama mnazi wa upande ule, huwezi kukubaliana na hoja toka kwa upande mwengine na so long kuwa wanazi ndo watawala, hata hoja iwe ni kwa maslahi mapana kiasi gani ya kitaifa, bado wewe utakuwa na jicho na hoja za kinazi.

Sasa si ni bora muwe mnajadiliana wenyewe unazi wenu? Mkiongeza na the likes of Mwijaku, mnakuwa mmetimia haswaa.

Demokrasia ni kufuta miji na vijiji na kuanzisha Kizimkazi festival kuwa shughuli ya kitaifa?
Hii ni laana ya kulazimisha zenji kuwa chini ya TZ.
 
Nchi inaendeshwa kama Kampuni binafsi ya familia.

Mama akikaa na ammi zake anaamua tu la kufanya.

Subirini tu kama Mlima Kilimanjaro nao hautobinafsishwa kwa Ammi Sayed Sayed.

Bi Maza ana mbinu kama dalali wa vyumba wa Buza.
KWANZA MLIANZA NYINYI MAKAFIRI KUTAKA KUJIMILIKISHA VITU NA RASILIMALI ZA NCHI HII,WEWE ULISKIA WAPI RASILIMALI NCHI HII IPO KARNE NA KARNE ETI KISHA ANAKUJA KAFIR MMOJA ANASEMA MLIMA HUU UMEGUNDULIWA NA DR LIVINGSTONE,..!!

NAJUA MNAUMIA SANA MAKAFIRI NCHI HII KILA MUISLAM AKISHIKA DOLA,SASA HIVI TUTAZUNGUMZA LUGHA MNAYOZUNGUMZA NA BILA SHAKA TUTAELEWANA TUH,SASA HATA KAMA VATICAN WANAITAKA NCHI HII TUNAWAPA VIPI NA WAO HAWANA HELA WANA MISALABA TUH NA SANAMU LA YESU KRISTO??
 
Sasa hivi ni nadra kusikia wazanzibari wakitaka muungano uvunjwe maana sasa kila kitu kipo upande wao.

Huu muungano umekuwa mithili ya ndoa ya wazazi wawili wenye watoto wao toka ndoa nyingine.
Kila mzazi anavutia mema kwa watoto wake akipata fursa.

Kwa sasa Tanganyika tumebaki kuwa wana wa kambo.
Na hadi Mama Abduli amalize hiyo mitano yake Wazanzibari watakuwa wametuacha mbali sana. Inasikitisha watu wako kwenye kushabikia vyama na dini badala ya mama yetu Tanganyika.
 
KWANZA MLIANZA NYINYI MAKAFIRI KUTAKA KUJIMILIKISHA VITU NA RASILIMALI ZA NCHI HII,WEWE ULISKIA WAPI RASILIMALI NCHI HII IPO KARNE NA KARNE ETI KISHA ANAKUJA KAFIR MMOJA ANASEMA MLIMA HUU UMEGUNDULIWA NA DR LIVINGSTONE,..!!

NAJUA MNAUMIA SANA MAKAFIRI NCHI HII KILA MUISLAM AKISHIKA DOLA,SASA HIVI TUTAZUNGUMZA LUGHA MNAYOZUNGUMZA NA BILA SHAKA TUTAELEWANA TUH,SASA HATA KAMA VATICAN WANAITAKA NCHI HII TUNAWAPA VIPI NA WAO HAWANA HELA WANA MISALABA TUH NA SANAMU LA YESU KRISTO??

Kweli nimeamini ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi. Pamoja na kuandika kwa herufi kubwa, kutumia jina kubwa na avator ya jitu la miraba minne bado hoja yako haionekani.
 
Kweli nimeamini ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi. Pamoja na kuandika kwa herufi kubwa, kutumia jina kubwa na avator ya jitu la miraba minne bado hoja yako haionekani.
SASA HATA UNGEKUWA NA WEWE NA AKILI ZAKO,AKIJA MTU KUTOKA VATICAN NA UARABUNI UTAMSIKILIZA YUPI??YAANI UACHE KUMSIKILIZA MWENYE FEDHWA ZA MAFUTA UKAE UMSKILIZE MUUZA NGADA NA MISALABA KUTOKA VATICAN??
 
Back
Top Bottom