Kuna siku utaelewa kuwa kafiri ni wazazi wako.KWANZA MLIANZA NYINYI MAKAFIRI KUTAKA KUJIMILIKISHA VITU NA RASILIMALI ZA NCHI HII,WEWE ULISKIA WAPI RASILIMALI NCHI HII IPO KARNE NA KARNE ETI KISHA ANAKUJA KAFIR MMOJA ANASEMA MLIMA HUU UMEGUNDULIWA NA DR LIVINGSTONE,..!!
NAJUA MNAUMIA SANA MAKAFIRI NCHI HII KILA MUISLAM AKISHIKA DOLA,SASA HIVI TUTAZUNGUMZA LUGHA MNAYOZUNGUMZA NA BILA SHAKA TUTAELEWANA TUH,SASA HATA KAMA VATICAN WANAITAKA NCHI HII TUNAWAPA VIPI NA WAO HAWANA HELA WANA MISALABA TUH NA SANAMU LA YESU KRISTO??
Hahaha,Sasa mimi nitoe ushsuri: Yule anayetaka huu muungano uvunjike kikwelikweli naamue au atangaze tu kwamba ama Zanzibar imefutwa au Tanzania imefutwa.
Zanzibar isinge ungana na Tanganyika basi leo hii Zanzibar ingekua moja ya nchi Tajiri sana AfricaHello!
Neno bara nimeliweka tu kwakuwa halina mbadala ila kwa ukweli neno bara halipo kimamlaka.
Kwa muda mfupi tu tumeona maeneo kadhaa yamefutiwa authority.
Hatujaambiwa kwamba yamefutwa ili yaundwe upya, yamebadilishwa majina au yameunganishwa na maeneo mengine.
Mfutaji ni Waziri wa TAMISEMI MR. MCHENGERWA, ila kwa mujibu wa katiba hana mamlaka ya kufanya hivyo, maana yake ni kwamba amefuta kwa amri ya Rais.
Pia soma: Kuna kero za muungano au muungano ni kero?
Atatokea mtu mwenye hasira ataifuta Zanzibar yote kulipa kisasi, au atatokea mtu mwingine kutoka Zanzibar ataifuta Arusha, Moshi na Tanga au Mikoa zaidi ya 10 kwa pamoja tisipoangalia.
Mtoto huwa anaanza kutest vitu, anagusa kitu halafu anaangalia sura ya mzazi wake ili aone reaction yake. Akiona mzazi ametabasamu anajua this is good akiona mzazi amekunja uso anaacha.
Uzi huu hauko kichama, kama mtu atatoa comment based on his/her political influenza basi huyo ni tahira.
Nyinyi machogo ndio mnailazimisha Zanzibar kuungana na tanganyikaDawa ni kuvunja huu mungano wa mchongo tu. Ndoa kama inaleta mateso dawa ni talaka tu
Chogo mamako bwege wewe.Nyinyi machogo ndio mnailazimisha Zanzibar kuungana na tanganyika
Ustaadh Bashiruu alitaka kupindua katiba ili ustaadh huyu asiwe namba 1. Ila kafiri yule bakabaka akasimama kidete hadi huyu akala kiapo. Umesahau hilo?KWANZA MLIANZA NYINYI MAKAFIRI KUTAKA KUJIMILIKISHA VITU NA RASILIMALI ZA NCHI HII,WEWE ULISKIA WAPI RASILIMALI NCHI HII IPO KARNE NA KARNE ETI KISHA ANAKUJA KAFIR MMOJA ANASEMA MLIMA HUU UMEGUNDULIWA NA DR LIVINGSTONE,..!!
NAJUA MNAUMIA SANA MAKAFIRI NCHI HII KILA MUISLAM AKISHIKA DOLA,SASA HIVI TUTAZUNGUMZA LUGHA MNAYOZUNGUMZA NA BILA SHAKA TUTAELEWANA TUH,SASA HATA KAMA VATICAN WANAITAKA NCHI HII TUNAWAPA VIPI NA WAO HAWANA HELA WANA MISALABA TUH NA SANAMU LA YESU KRISTO??
Uko sahihi!No kweli!
Mimi ni muumini wa serikali Moja na sio mbili!!
Hakuna ndoa nusu Bali ndoa nzima nzima!!
Serikali mbili ni kituko kabisa!!
Ndio inazaa changamoto za muungano!!
Yule nabii Tito ni nabii wa kanisa gani!? Huo unabii si hata wewe unaweza kuingia barabarani na ushoga wako na ukajiita nabii!?Ushoga mnao nyinyi , yaani mpaka mnakuwa na manabii Mashoga ?? Ref Nabii wako Tito
Mkuu endelea kuchekaHahaha,
Kwanza nicheke.
Hapa umesema kweli, kweli tupuMkuu, bahati nzuri macho ya chura hayazuii ng'ombe kunywa maji.
Hapa hujasema kweli. Kuna pesa ambayo ni mgawanyo wa mapato inayopaswa kuwa ya Zanzibar. Pesa hiyo huwa hailetwi kwa sababu ya ubinafsi wa watu wenye mawazo kama yako, wanaodhani kwamba hiyo ni hisani au upendeleo kwa Zanzibar, jambo ambalo ni kinyume na makubaliano/mkataba wa muungano.Pesa nyingi ya Tanganyika inayotapanywa huku Zenji haiwezi kupotea bure.
Majengo yanayojengwa Zanzibar ni kwa kutumia pesa za Zanzibar na sio kwa pesa za nchi au mtu yeyote. Uchoyo na roho mbaya huwa ni mambo yasiyosaidia, sanasana unaweza kupata presha.Wakati Bara kuna majengo mengi ya shule hayakidhi viwango, Majengo mazuri tu ya shule za msingi huku Zenji yanabomolewa na kujengwa maghorofa, barabara nzima za lami hata zilizojengwa 2020 zinavunjwa na kujenga imara zaidi za kudumu miaka mingi (kama zile za mwendo kasi Dar), nk, nk..
Ni kweli sheria zinaweza kutenguliwa na kutungwa na watu. Ikifanyika hivyo hakuna tatiza kwani ni kwa mujibu wa sheria, nami nimkuambia mapema kwamba muungano ni jambo la kisheria.Hizo sheria unazosema sio msahafu, zinatungwa, kurekebishwa, kutenguliwa, kufutwa na kutungwa upya na watu.
Hili la kuwa wilaya ya Mkoa wa Pwani halina tatizo, kama ingekuwa inawezekana. Bahati mbaya hilo haliwezekani bila ridhaa ya Zanzibar.Ideally, ili kufidia gharama hizi kutoka Tanganyika, itabidi tu Zenji iwe kama kisiwa cha Mafia, yaani wilaya mojawapo ya mkoa wa Pwani. Haitafutwa, ila itakuwa wilaya
Ewaa; hapa sasa tumeelewana kwasababu sasa umeelewa niliyokuwa nasema.Haitafutwa, ila itakuwa wilaya
Umejitahidi kujibu mkuu, baadhi sawa mengine sivyo!Mkuu endelea kucheka
Hapa umesema kweli, kweli tupu
Hapa hujasema kweli. Kuna pesa ambayo ni mgawanyo wa mapato inayopaswa kuwa ya Zanzibar. Pesa hiyo huwa hailetwi kwa sababu ya ubinafsi wa watu wenye mawazo kama yako, wanaodhani kwamba hiyo ni hisani au upendeleo kwa Zanzibar, jambo ambalo ni kinyume na makubaliano/mkataba wa muungano.
Majengo yanayojengwa Zanzibar ni kwa kutumia pesa za Zanzibar na sio kwa pesa za nchi au mtu yeyote. Uchoyo na roho mbaya huwa ni mambo yasiyosaidia, sanasana unaweza kupata presha.
Ni kweli sheria zinaweza kutenguliwa na kutungwa na watu. Ikifanyika hivyo hakuna tatiza kwani ni kwa mujibu wa sheria, nami nimkuambia mapema kwamba muungano ni jambo la kisheria.
Hili la kuwa wilaya ya Mkoa wa Pwani halina tatizo, kama ingekuwa inawezekana. Bahati mbaya hilo haliwezekani bila ridhaa ya Zanzibar.
Ewaa; hapa sasa tumeelewana kwasababu sasa umeelewa niliyokuwa nasema.
Hilo la kuwa wilaya litafanyika tu kwa ridhaa ya pande mbili za muungano na sio vingine. Zanzibar ipo na itaendelea kuwepo wewe ukipenda au ukichukia, kwani hayo si mamlaka yako.