Andazi
JF-Expert Member
- Jul 30, 2022
- 1,113
- 2,234
Aaa jamani hii nishida nyingine tuitizame katika pita pita zangu huko na huko hili nalo tulitizame
WANAWAKE: Jamani hawa viumbe(wanaume) hawatulii kabisa wanajielewa wenyewe
WANAUME: Mademu wanazungua majukumu ya baba zao wanatupa sisi hata umpende vipi hawapendeki
Kuna thread moja bidada anasema kuhusu tendo na kumfirahisha Mume. Kiumbe cha mungu binti mmoja anacomment, hata upande juu yabati sijui nn kutulia ahamie mwenyewe.
Wote wanavutia kamba sehemu yake
Pole uandishi mbaya
ILA MADEMU MNAZINGUA MNOOOOOO 😊 mchango wangu mapema
POVU RUKSAAAA PESA YA SODA NJOO UFATE GHETO
WANAWAKE: Jamani hawa viumbe(wanaume) hawatulii kabisa wanajielewa wenyewe
WANAUME: Mademu wanazungua majukumu ya baba zao wanatupa sisi hata umpende vipi hawapendeki
Kuna thread moja bidada anasema kuhusu tendo na kumfirahisha Mume. Kiumbe cha mungu binti mmoja anacomment, hata upande juu yabati sijui nn kutulia ahamie mwenyewe.
Wote wanavutia kamba sehemu yake
Pole uandishi mbaya
ILA MADEMU MNAZINGUA MNOOOOOO 😊 mchango wangu mapema
POVU RUKSAAAA PESA YA SODA NJOO UFATE GHETO