Huu mwaka kweli wangu, maana majanga hayaishi

Huu mwaka kweli wangu, maana majanga hayaishi

.
IMG-20190620-WA0031.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siwezi kustop fikra zako mkuu, na uzuri wa hapa ni kila mmoja nivyema nikaheshimu mawazo yake pia mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna wanaume wanaweka heshima kwa wengine ila hudharau au kudhalilisha wake zao. Acha hizo, mambo ya mke kufua vikanga vya mikojo ya usiku hukutakiwa kuitangazia dunia.

Haya heshima isiishie humu iende kwa mkeo.
 
Kuna wanaume wanaweka heshima kwa wengine ila hudharau au kudhalilisha wake zao. Acha hizo, mambo ya mke kufua vikanga vya mikojo ya usiku hukutakiwa kuitangazia dunia.

Haya heshima isiishie humu iende kwa mkeo.
Nafikiri unalo laziada zaidi ya hapa. Naomba nikupuuze tu mkuu kwasababu sisi kwetu bado hatuna uwezo wa kununua nepi ama Pampers kama mnavyo fanya ninyi na mkeo.
Na bado nitaendelea kusema basi tunatumia vipande vya khanga kwaajili ya kumfungia mtoto wetu.
Haya endelea wewe mwenye uwezo mzuri wa kimaisha kuitangazia dunia kwamba kuwa mwenye maisha ya chini ni kujidhalilisha.
By the way naomba nikushangae kukomaza shingo kwenye thread ambayo wazi ipo kwenye jukwaa la chitchat, na bona haujasema najidhalilisha mwenyewe kwa kuangusha msuli nilio jifunga..??
Nadhani bilashaka utakuwa una lako jambo la ziada lililo jificha, yaani wewe ndio ujifanye kuitangazia dunia kwamba unajuwa saaaaana kumtetea mke wangu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu, siku ya leo haikuwa mbaya sana. Wote tuliamka salama na baada ya wife kunichemshia maji ya kuoga kwenye kuni basi akawa pale uwani anafua vikanga vya mkojo alivyo tumia usiku uliopita.
Baada ya kunitia viungo kwenye maji ya kuoga, basi nika karibishwa nikaoge kama kawaida.
Mzee kama kawaida nikajifunga msuli na nikachukuwa mswaki wangu wa mti, huyoooo nikatoka nje ili nikakoge.

Nilipo toka nje pale uwani palikuwa na wamama kama wenne wengine wapangaji wenzetu, walikuwa wanafanya kazi za hapa na pale, kama kawaida nikawasabahi na kisha nikamchukuwa mtoto wetu mdogo aliekuwa anacheza pembeni ya mama yake na nikawa kidogo nacheza nae huku nikimrusha juu na tukifurahi kwa pamoja.

Lahaula....Mara paap, msuli ukadondoka chini na wakati huo mtoto alikuwa hewani nimemrusha juu. Wakuu hapa kidogo nilichanganyikiwa maana wale wamama nao walianza kupiga kelele na wengine wakakimbilia ndani na mmoja yeye naona alisimama na akawa ananiangalia zaidi kuanzia maeneo ya kiunoni kushuka chini.

Baada ya kelele ile, ndipo wife akakimbia chap kuja kuniokotea msuli na kunihifadhi wallah.
Dahhh.....

Leo nimeaibika sana, ingawa kuna huyu mama mpangaji mwenzetu ambae alikomaa kunitizama saizi naona kila tukikutana anatabasamu tu, sasa sijui bado ananicheka ama ananifurahia...!!


Sent using Jamii Forums mobile app
Weka na picha ya kusindikizia hiyo hadithi
 
Kuna wanaume wanaweka heshima kwa wengine ila hudharau au kudhalilisha wake zao. Acha hizo, mambo ya mke kufua vikanga vya mikojo ya usiku hukutakiwa kuitangazia dunia.

Haya heshima isiishie humu iende kwa mkeo.
Naona tezi dume imekupanda kichwani hadi unajikuta unadandia magari kwa mbele, ebu usinletee unyambis ga'Dem it I'm not here to fulfill your happiness kijana.
Na kamwe usije ukajipima my personal life with you're life binti. Usipende kabisa kudandia mada kama unajiona hautoshi ama kujifanya mtetezi wa mke wangu kwa jukwaa la ChitChat, maana naona kama nimekupuuza sana lakini sasa inazidi kuvuka mpaka.
Yaani wewe neno pekee ulilo liona ni vipande vya khanga alivyo kojolea mtoto tu... Hivi unadhani kama wote tukiandika some though threads nani ataandika lough threads..??
By the way, kwa mtazamo wako huo naona basi hata tumwambie JamiiForums afute jukwaa la ChitChat kub@b@ko.
Tena ukome kabisa kutafuta umaarufu kwa kupitia migongo ya watu qum@nin@ zako.
Hili ni onyo kwako kijana, pia nakupa pole kwa kuugua sijui kituganu dume hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona tezi dume imekupanda kichwani hadi unajikuta unadandia magari kwa mbele, ebu usinletee unyambis ga'Dem it I'm not here to fulfill your happiness kijana.
Na kamwe usije ukajipima my personal life with you're life binti. Usipende kabisa kudandia mada kama unajiona hautoshi ama kujifanya mtetezi wa mke wangu kwa jukwaa la ChitChat, maana naona kama nimekupuuza sana lakini sasa inazidi kuvuka mpaka.
Yaani wewe neno pekee ulilo liona ni vipande vya khanga alivyo kojolea mtoto tu... Hivi unadhani kama wote tukiandika some though threads nani ataandika lough threads..??
By the way, kwa mtazamo wako huo naona basi hata tumwambie JamiiForums afute jukwaa la ChitChat kub@b@ko.
Tena ukome kabisa kutafuta umaarufu kwa kupitia migongo ya watu qum@nin@ zako.
Hili ni onyo kwako kijana, pia nakupa pole kwa kuugua sijui kituganu dume hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mwanaume wa kweli hapanick, hatokwi povu na wala hatoi maneno mbovu mbofu. He will remain cool, calm and collected in a heated debate.


Bila kumung'unya maneno, umemdhalilisha mkeo, yupo kuwa anafua vikanga vya mikojo ya usiku!

Nani kikojozi kati yako na yake?
 
Back
Top Bottom