funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,624
- 21,362
Ningewahi msuli mtoto ningemdaka kwa kujiangusha aniangukie kwa juu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ningewahi msuli mtoto ningemdaka kwa kujiangusha aniangukie kwa juu
Ahsante sana mkuu, hapa naona vijana wengi hawaja elewa concept ya nilicho kiandikaHICHI KICHEKESHO NILIKISOMAGA SIKU NYINGI KWENYE JARIDA LA SANI, ILA KILIKUJA KWA NJIA YA SWALI JE UNGEMDAKA MTOTO AU UNGESHIKILIA MSULI?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe mzee wa miaka 10 na ngapi ?Ahsante sana mkuu, hapa naona vijana wengi hawaja elewa concept ya nilicho kiandika
Sent using Jamii Forums mobile app
...teh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe mzee wa miaka 10 na ngapi ?
Siwezi kustop fikra zako mkuu, na uzuri wa hapa ni kila mmoja nivyema nikaheshimu mawazo yake pia mkuuPunguza chai mzee baba, sasa umemdhalilisha mkeo mtandaoni kwa suala la mikojo.
Siwezi kustop fikra zako mkuu, na uzuri wa hapa ni kila mmoja nivyema nikaheshimu mawazo yake pia mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri unalo laziada zaidi ya hapa. Naomba nikupuuze tu mkuu kwasababu sisi kwetu bado hatuna uwezo wa kununua nepi ama Pampers kama mnavyo fanya ninyi na mkeo.Kuna wanaume wanaweka heshima kwa wengine ila hudharau au kudhalilisha wake zao. Acha hizo, mambo ya mke kufua vikanga vya mikojo ya usiku hukutakiwa kuitangazia dunia.
Haya heshima isiishie humu iende kwa mkeo.
Weka na picha ya kusindikizia hiyo hadithiWakuu, siku ya leo haikuwa mbaya sana. Wote tuliamka salama na baada ya wife kunichemshia maji ya kuoga kwenye kuni basi akawa pale uwani anafua vikanga vya mkojo alivyo tumia usiku uliopita.
Baada ya kunitia viungo kwenye maji ya kuoga, basi nika karibishwa nikaoge kama kawaida.
Mzee kama kawaida nikajifunga msuli na nikachukuwa mswaki wangu wa mti, huyoooo nikatoka nje ili nikakoge.
Nilipo toka nje pale uwani palikuwa na wamama kama wenne wengine wapangaji wenzetu, walikuwa wanafanya kazi za hapa na pale, kama kawaida nikawasabahi na kisha nikamchukuwa mtoto wetu mdogo aliekuwa anacheza pembeni ya mama yake na nikawa kidogo nacheza nae huku nikimrusha juu na tukifurahi kwa pamoja.
Lahaula....Mara paap, msuli ukadondoka chini na wakati huo mtoto alikuwa hewani nimemrusha juu. Wakuu hapa kidogo nilichanganyikiwa maana wale wamama nao walianza kupiga kelele na wengine wakakimbilia ndani na mmoja yeye naona alisimama na akawa ananiangalia zaidi kuanzia maeneo ya kiunoni kushuka chini.
Baada ya kelele ile, ndipo wife akakimbia chap kuja kuniokotea msuli na kunihifadhi wallah.
Dahhh.....
Leo nimeaibika sana, ingawa kuna huyu mama mpangaji mwenzetu ambae alikomaa kunitizama saizi naona kila tukikutana anatabasamu tu, sasa sijui bado ananicheka ama ananifurahia...!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona tezi dume imekupanda kichwani hadi unajikuta unadandia magari kwa mbele, ebu usinletee unyambis ga'Dem it I'm not here to fulfill your happiness kijana.Kuna wanaume wanaweka heshima kwa wengine ila hudharau au kudhalilisha wake zao. Acha hizo, mambo ya mke kufua vikanga vya mikojo ya usiku hukutakiwa kuitangazia dunia.
Haya heshima isiishie humu iende kwa mkeo.
Bahati mbaya vingine hata havichekeshiMaisha yakiwa magumu kila mtu anajikuta mchekeshaji
Naona tezi dume imekupanda kichwani hadi unajikuta unadandia magari kwa mbele, ebu usinletee unyambis ga'Dem it I'm not here to fulfill your happiness kijana.
Na kamwe usije ukajipima my personal life with you're life binti. Usipende kabisa kudandia mada kama unajiona hautoshi ama kujifanya mtetezi wa mke wangu kwa jukwaa la ChitChat, maana naona kama nimekupuuza sana lakini sasa inazidi kuvuka mpaka.
Yaani wewe neno pekee ulilo liona ni vipande vya khanga alivyo kojolea mtoto tu... Hivi unadhani kama wote tukiandika some though threads nani ataandika lough threads..??
By the way, kwa mtazamo wako huo naona basi hata tumwambie JamiiForums afute jukwaa la ChitChat kub@b@ko.
Tena ukome kabisa kutafuta umaarufu kwa kupitia migongo ya watu qum@nin@ zako.
Hili ni onyo kwako kijana, pia nakupa pole kwa kuugua sijui kituganu dume hiyo.
Sent using Jamii Forums mobile app